Jamani ama kweli wachawi ni balaa, jirani yangu jana usiku alilala ndani ya nyumba yake lakini leo alfajiri amejikuta kalala juu ya bati la nyumba,tena akiwa na mashuka yake.
Ikabidi tufanye jitihada za kumshusha chini,lakini jamaa anaonekana ana akili zake timamu kabisa kwasasa jamaa amebakia home akitafakari ilikuaje ameamkia juu ya bati?
Ikabidi tufanye jitihada za kumshusha chini,lakini jamaa anaonekana ana akili zake timamu kabisa kwasasa jamaa amebakia home akitafakari ilikuaje ameamkia juu ya bati?