Siri imefichuka, mhadhiri wa chuo aleta aibu.. iyo pesa ni ndogo sana kwake lakini hizi tamaa za madili na maendeleo ya fasta fasta ndo yanapelekea haya mambo kutoisha!! Tuache tamaa tujifunze kuridhika na uhalisia wa maisha yetu ama tupambane kusaka noti bila kutumia 'short-cuts' zinazovunja sheria za nchi. Aibu itatukuta kama hii ya kuanikwa hadharani na wasiopenda ujanja ujanja.