nimeisoma hyo thread vizuri sana bila kuchoka but tuwe makini sio kila kitu kusema sawa tu wakati kwa hayo maelezo sidhani kama chuo kina tatizo,acheni kuikandia udsm,huyo dada ma mme wake walitaka hudima pasipo kufuata njia sahihi na ndo chanzo cha usumbufu wote huo!mmepatana mtaani kwa taasisi kubwa kisha unataka kuchukulia ofisini ,hyo protocol sijaifahamu ,ungalikua umeenda ofisini direct sawa hapo ningekuelewa ila mtu mwenyewe mnachukua namba zake sinza kwanini msingeenda chuoni na mkafuata taratibu zote pasipo hata kuonana na mtengenezaji?,nadhani kuna walakini hapo !tuache tabia mbaya kama hizi !