Jipu la utapeli Chuo Kikuu Dar (UDSM)

Jipu la utapeli Chuo Kikuu Dar (UDSM)

nimeisoma hyo thread vizuri sana bila kuchoka but tuwe makini sio kila kitu kusema sawa tu wakati kwa hayo maelezo sidhani kama chuo kina tatizo,acheni kuikandia udsm,huyo dada ma mme wake walitaka hudima pasipo kufuata njia sahihi na ndo chanzo cha usumbufu wote huo!mmepatana mtaani kwa taasisi kubwa kisha unataka kuchukulia ofisini ,hyo protocol sijaifahamu ,ungalikua umeenda ofisini direct sawa hapo ningekuelewa ila mtu mwenyewe mnachukua namba zake sinza kwanini msingeenda chuoni na mkafuata taratibu zote pasipo hata kuonana na mtengenezaji?,nadhani kuna walakini hapo !tuache tabia mbaya kama hizi !
Hivi mnasoma kweli maelezo ya mhusika mkaelewa? Bora kutokukomenti tukakuona una busara kuliko kuongea usichokielewa ukaonekana mpuuzi.
 
Watu wengine buana,hivi huko BICO ulifuata mashine au ulifuata rist?,maana mashine uliletewa ukaikataa na hela ukarudishiwa,sasa kinachokufanya upige kelele ni nini?,nyie ndio huwa mnarogwa mnaanza kusumbua ndugu zenu kuwapeleka kwa waganga
Dai risiti kwa maendeleo ya nchi yako. Acha ufisadi
 
Kwanza swala la kujiuliza si yalikuwa ni makubaliano yao wenyewe. Mtu tena unaambiwa utafanyiwa kazi bila ya risit unakubali afu mwisho wa siku unalailumu BIco. Kwan BICO ndo waliomwambie asipewe risit. Mambo mengine hayahitaji uwena degree kutambua. Hili ata wahindi wa kariakoo wanalijua fika mkuu
Hivi mnaelewa kinachoandikwa kweli? Upo nje na kilichosemwa. Don't rush to comment something you don't understand
 
Zainabu, naona umeligeuza hili jukwaa kuwa la 'Mikingamo'. Kuna mambo mawili ulipaswa kuzingatia. Kwanza, hiki ni chombo cha habari hivyo tuhuma zozote kumhusu mtu yeyote zinapaswa zichapishwe (published) katika mazingira ambayo pande zote mbili zinapata fursa sawa ya kujieleza. Pili, hata kama tuhuma ulizotoa zina ukweli, hilo halimuondolei huyo mwalimu wa UDSM haki yake ya faragha (right to privacy). Kuchapisha jina na namba yake ya simu ni kosa kubwa. Hizo taarifa ulipaswa uzipeleka kwenye mamlaka husika kama umeamua kuwa whistle-blower.
Kama kaonewa basi atangulie yeye Wadelanga huko unakosema. Hapa ndiyo sehemu sahihi.
 
Ha ha kweli mawazo huru. Kwan ata miapia nakuhurumia unaepiga by-pass afu ukilizwa unalalamika. Hivi walimu ndo huwawandisha watukutofata utaratibu. Huyo mwalimu akikufundisha hivo atakuwa taira na punguwan
Bado mwalimu wako alikuwa na kazi nzito. Kiswahili ulipata ngapi vile?!
 
Kwa Intelijensia ndogo tu, kubwa la maadui ni Ibilisi.

Kama hujaelewa usiniquote waka kulike coz nko kwenye mood ya kutukana rafik yangu

Utakoma na roho yako ukijaribu

Mwisho lakin si kwa umuhimu, pole zainab na mumeo. Wazalendo tuko wachache sana. Wengine mpaka washakata tamaa. Ila wabapata moyo kutokana na watu kama nyie.

Dili sio mwenendo tu, sasa kasumba. Kila mmoja anataka share take mapema. Chanzo nn? Dili tu.
Kaajiriwa muda kidogo mara gari hii hapa kannua, mara nyumba ile, viwanja vyote hapa town anatia saini daily..bata batani. Chanzo dili, na dili hazitak risiti rafiki yangu

Polen wazalendo wote.
 
Wazalendo tupo achache sana ndio tatizo la Tz yetu.
Yaani hayo ndiyo yanayotokea ktk taasisi za uma na inaonekana kawaida tu.
Hapo kuna vitu watu hawavioni kwamba kwa kuwa mashine zilikua tayari mngechukua wakati unalalamika hapa mradi ungekua unaendelea kama kawaida.
Mamlaka husika zingeenda kufanya uchunguzi lakini nyie mnaingiza chenu.

Muda mliotumia na garama na hela ikashikiliwa na hao jamaa muda wote ungekopesha kwa riba ingezaa.

Nimtazamo tu hongera kwa uzalendo
 
Sasa kama wewe sio Mtanzania ina maana hii mada kiasi flani haikuhusu, utapeli haukubaliki. jitahidi kusoma habari yote uielewe utapata majibu tu, msilaumiane hapa. huyo mama nadhani hajakosea kuileta mada hapa JF
Kwani chuo kikuu cha dar ni watanzania tu wanasoma???. Au mnapo enda ulaya mnakuwa na nyie wa ulaya???. Eboo!!!!
 
Me hapo sioni la maana unadai risiti wakati machine unakabidhiwa tena kwa discount what for?
 
Back
Top Bottom