ndenga
JF-Expert Member
- Dec 20, 2010
- 1,895
- 1,578
Hamna kitu kinaitwa LITA...mimi napafahamu kama LITI Tengeru...au hiki ni kipya kinaitwa LITA TengeruMe nahitaji kujiunga na mafunzo ya mifugo.. natapaje nafasi hapo LITA - Tengeru mkuu
Hamna kitu kinaitwa LITA...mimi napafahamu kama LITI Tengeru...au hiki ni kipya kinaitwa LITA TengeruMe nahitaji kujiunga na mafunzo ya mifugo.. natapaje nafasi hapo LITA - Tengeru mkuu
Ndio jina jipya.. last walikuwa wanaitwa LITI... Now ni LITA - it means ( Livestock Training Agent)..Hamna kitu kinaitwa LITA...mimi napafahamu kama LITI Tengeru...au hiki ni kipya kinaitwa LITA Tengeru
Asante,karibu Sana!Poa mkuu ntakucheki wasps tuongee vizuri maana ninao kuku wapatao 120 kuhusu banda nice sana,,,
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio utapata, nitafute 0762283253Je naweza pata ramani y banda la mbuzi wapatao 15-20.??
Utuwekee sample ya ramani au picha ya mabanda yaliyojengwa kwa ramani na ushauri wako. Jifunze kwa wanaochora ramani za nyumba otherwise hutopata ushirikano kwa kuwa post yako haina ukamilifu