ruralofficer
JF-Expert Member
- Apr 4, 2014
- 2,499
- 3,636
Tafadhali jiheshim,na ujue namna ya kuzungumza,kama hutaki maendeleo kwa watu basi kaa kimnya,aisee umenikwaza sana usidharau kazi ya mtu.Na kwa taarifa mimi nishakula mamilioni ya pesa kutoka na kazi yangu hii.
Na jamii kiujumla wananufaika na kazi yangu.namshukuru sana mwalim wangu kwa kunifundisha elim ya kutengeneza ramani za nyumba za kuku alizojifunza kukota nchini Uholanzi(Netherland).ndugu zangu wa Tanzania tuamke tupambane tusonge mbele tusikwaze na mtu kama huyu nilie mjibu tutatoboa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante,samahan nimebanwa nitatuma kesho!Ili kupunguza mapovu ya wadau ungetuma hata sample watu waone au mkuu unaogopa ndio wadau tutaondoka na sample hiyo hiyo?
Biashara matangazo ujue so turidhishe kidogo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana!Kijana komaa. Watu kama hawa wapo duniani. Ni kuwapuuza.
Mkuu tunangojea sample ya hizo ramani aise!!!
Well umenigusa dunia ya sasa hivi elimu tunayoipata tujiajiri wengine hapa hasa watani zako watafikiri unataka kupiga dili ila umetoa wazo zuri sana kKwa majina naitwa Kennedy Shirima,ni mhitim wa elim ya mifugo Chuo cha Lita Tengeru Arusha,napenda kuwa taarifu wafugaji wa kuku wakubwa na wadogo kwamba uzalishaji utokanao na kuku unazingatia jinsi ya banda lako ulivyo lijenga pia na chakula unachowapatia kuku wako kisha kupata mavuno bora.Basi mimi najishugulisha na maswala hayo ya utengenezaji ramani,kwa atakaye hitaji ramani ya banda bora basi mimi nitamtengenezea kulinga na hidadi ya kuku ambao atakuanao kisha nitamtumia kwa njia ya mtandao (wa mbali) kwa wale wa karibu napatikana mikoa ya Kilimanjaro na Arusha ila sasa nipo field mkoa wa Tanga.Pia kwa upande wa chakula nitampatia na formula ya kuchanganyia chakula bora.
Naomba unitafute ilituweze kusaidiana
Bei ya Ramani;50,000-100000Tzsh
Bei ya formula ya chakula;5000Tzsh
MAWASILIANO
Phone;0762283253 pia no hii inapatakina WhatsApp
Email; kennesyshirima09@gmail.com
Asante sana na karibu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Shirima hapo chuoni naweza pata mbegu ya mbuzi chotara wanaofaa kwa nyama na maziwa?
Mkuu tunangojea sample ya hizo ramani aise!!!
Mkuu tunangojea sample ya hizo ramani aise!!!
Pole hapa wapo,ila hawauzi!Shirima hapo chuoni naweza pata mbegu ya mbuzi chotara wanaofaa kwa nyama na maziwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli mzee asante sana!Well umenigusa dunia ya sasa hivi elimu tunayoipata tujiajiri wengine hapa hasa watani zako watafikiri unataka kupiga dili ila umetoa wazo zuri sana k
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana,karibu!Asante Kijana huo ndio usomi tunaohitaji wa kutumia taaluma yako kujiongezea kipato pamoja na kutoa elimu yako kwa wengine,nitakutafuta
Sent using Jamii Forums mobile app
Nishaweka sample ya ramani angalia vizuriMkuu ungeweka sample ya hizo ramani au picha ya mabanda
Sent from my TV
Samahani mkuu mi ningependa uweke estimates za gharama za kulijenga kwa kuku 200 - 500. Ni kuku wa kienyeji na wafugwe kwa mfumo wa nusu huria.
Sorry kijana ila sio wote wanaoweza kusoma na kuielewa ramani, huo ni mchoro tu ambao mtu yoyote anaweza kuupata na hauwezi kumvutia mtu machoni na kuamini uzuri wa kazi zako, ungeweka picha ya banda ambalo umelifanyia kazi ingekuwa vizuri zaidi na ingewavutia wengi
OK,asante nitaziweka rafiki!Sorry kijana ila sio wote wanaoweza kusoma na kuielewa ramani, huo ni mchoro tu ambao mtu yoyote anaweza kuupata na hauwezi kumvutia mtu machoni na kuamini uzuri wa kazi zako, ungeweka picha ya banda ambalo umelifanyia kazi ingekuwa vizuri zaidi na ingewavutia wengi
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kujua nikiasi gan cha kuku ambao utawafuga kama ni 200 au 500 na ni wa nyama au mayai.Samahani mkuu mi ningependa uweke estimates za gharama za kulijenga kwa kuku 200 - 500. Ni kuku wa kienyeji na wafugwe kwa mfumo wa nusu huria.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kujua nikiasi gan cha kuku ambao utawafuga kama ni 200 au 500 na ni wa nyama au mayai.Samahani mkuu mi ningependa uweke estimates za gharama za kulijenga kwa kuku 200 - 500. Ni kuku wa kienyeji na wafugwe kwa mfumo wa nusu huria.
Sent using Jamii Forums mobile app