Well
Member
- Mar 20, 2015
- 73
- 16
Kwa majina naitwa Kennedy Charles ni mtaalam wa wanyama hasa kuku,napenda kuwa taarifu wafugaji wa kuku wakubwa na wadogo kwamba uzalishaji utokanao na kuku unazingatia jinsi ya banda lako ulivyo lijenga pia na chakula unachowapatia kuku wako kisha kupata mavuno bora.Basi mimi najishugulisha na maswala hayo ya utengenezaji ramani,kwa atakaye hitaji ramani ya banda bora basi mimi nitamtengenezea kulinga na idadi ya kuku ambao atakuanao kisha nitamtumia kwa njia ya mtandao.Pia kwa upande wa chakula nitampatia na formula ya kuchanganyia chakula bora kulingana na aina ya kuku afugao.
Kwa maelezo zaidi nitafute, KARIBU!
Bei ya Ramani;50,000-100000Tzsh
Bei ya formula ya chakula;5000Tzsh
MAWASILIANO
Phone;0762283253 pia no hii inapatakina WhatsApp
Email; kennesyshirima09@gmail.com
Asante sana na karibu!
Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 1530033
Kwa maelezo zaidi nitafute, KARIBU!
Bei ya Ramani;50,000-100000Tzsh
Bei ya formula ya chakula;5000Tzsh
MAWASILIANO
Phone;0762283253 pia no hii inapatakina WhatsApp
Email; kennesyshirima09@gmail.com
Asante sana na karibu!
Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 1530033