jipatie corolla splinter kwa 2.5M

jipatie corolla splinter kwa 2.5M

Donpela

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2011
Posts
2,040
Reaction score
592
habari wakuu
kuna gari yangu ya biashara niliisusa karibu mwaka wakati nipo safari
sasa nimeamua kuwaachieni..
picha zinajieleza..
interested buyer inbox me..
thanks
 
yani picha zinasumbua ku upload
samahanini wakuu
kesho nikiwa ofis asubuhi ntazi post
hizi simu ..mbombo ngafu kweli
 
Hiyo pikipiki bwana. Acha kudanganya watu wenye uchu na kumuliki gari. Na nyie mnaouliza inamaana hamjuwi kuwa hakuna gari la ukweli linaloweza likauzwa kwa bei hiyo hapa Tanzania? Bajaj yenyewe ya ukweli siku hizi ni mpaka 6m sembuse gari ya 2.5m. Shauri zenu.
 
Kuna aina mbili za gari, gari na gari uchwara. Yako ina-fall wapi?
 
Back
Top Bottom