Ingia hapo weka picha ya bampa kisha post utapata bei Vipuli(Add Your Post!Bamper la mbele toyota primeo new shape bei gani
Digxam Forums bonyeza hii link itakupeleka moja kwa moja kwenye usajiliSijui nakosea wapi kwenye kujisajili kwenye huo mtandao nisaidieni please
Daaa, kama hali yenyewe ndiyo hii basi ndiyo maana tunasikia ukarabati wa kile kivuko tunapigwa.View attachment 1284881
Tuwekeze kwenye Uvuvi hii ni boat ya uvuvi ya kisasa ndani mzuri sana kuna vifa vya kisasa vya uvuvi ndani iko bomba ya kijanja sana kuwa wakwanza kuimiliki
1.Ina vifaa vyakuta samaki na ktambua walipojificha
2.Kutambua aina ya Samaki
3.Wingi wa samaki
4.Nyavu a kisasa za kunasa Samaki
5.Speed
6.Fulu kiyoyozi
Bei yake M 10
Sijakuelewa mkuu una maana gani?Daaa, kama hali yenyewe ndiyo hii basi ndiyo maana tunasikia ukarabati wa kile kivuko tunapigwa.
Umeona ile meli inauzwa shs ngapi mkuu? NA...Sijakuelewa mkuu una maana gani?
Sijaona conection anyway kwema boss wanguUmeona ile meli inauzwa shs ngapi mkuu? NA...
tumepeleka kukarabati kivuko huko nje ya nchi kwa shs ngapi?
Website. Mbona hujaweka sasa
Sijui nakosea wapi kwenye kujisajili kwenye huo mtandao nisaidieni please
Website haipatikani boss,
KaribuHabari mkuu,kimya sana bado mpo.