kokudo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 2,546
- 1,662
Habarini za jioni,
Baada ya kufuatilia uzi kuhusu biashara kutoka Uganda leo nimeamua kuianza safari kwa vitendo.
Mfukoni niko na Card ya Yellow Fever nauli na ATM Card yangu, Sina Passport, hii ni baada ya kwenda Uhamiaji na kushauriwa kwenda mpaka mpakani na pale nitapata Pass Border.
Nitakuwa na share kila kitu katika safari hii.
NB: Ndo safari yangu ya kwanza to Uganda (Mungu anisaidie)
Baada ya kufuatilia uzi kuhusu biashara kutoka Uganda leo nimeamua kuianza safari kwa vitendo.
Mfukoni niko na Card ya Yellow Fever nauli na ATM Card yangu, Sina Passport, hii ni baada ya kwenda Uhamiaji na kushauriwa kwenda mpaka mpakani na pale nitapata Pass Border.
Nitakuwa na share kila kitu katika safari hii.
NB: Ndo safari yangu ya kwanza to Uganda (Mungu anisaidie)