Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,623
- 112,694
Hii nafasi uliyocomment sio yako mwenye nafasi yake atakumind tehfirst to reply au Joseverest kaniwahi
Hii nafasi uliyocomment sio yako mwenye nafasi yake atakumind tehfirst to reply au Joseverest kaniwahi
Nimemfunguka kwake lakini hanielewi, labda nikutume wewe ukanibembelezee. Ukifanikiwa,nitakutunuku......Funguka tu.
Funguka tu.
Funguka tu.
Fungukaaaaaaaaaaaaa.
nimeamka asubuhi naenda toilet mara nasikia sauti boss ananiambia mbona lile faili sijalipata nikajiuliza kwanini ajalipata?? mbona daku nilikula usiku wa jana na leo ndio nataka kuangalia hii movie ya chekinorisi, basi nikaenda mlimani city ile kutoka tu! jua kaliii mawimbi ya koko yanapiga, ndio kupanda gari haraka haraka lakini uwezi amini nilivyo shuka tu kwenye ndege nilipokelewa kwa bashasha! na trump kuuzulia kikao cha ccm yetu.
Hahahahaha..Nimemfunguka kwake lakini hanielewi, labda nikutume wewe ukanibembelezee. Ukifanikiwa,nitakutunuku......
Kuna mahali nimefika kwa mara ya kwanza wanapiga ugali wa mtama asubhi,mchan na jion,aisee nateseka sana na nisipokula nitaonekana nmewadharau,,,bas sku ya tano leo mbona nakoma mie mtoto niliezoea wali samak kwa nazi
Hahahahahaunataka uingie au umejiongelesha poa kwa kwel nahis malango unakusumbua ila uambie tu utafunguka
Kweli penzi halilazimishwi,laiti lingekuwa linauzwa ningelinunua...Hahahahaha..
Wanasema usilazimishe upendo.
Utanitukunu nini maana deal hii..!
Hapo hapo kitu ambacho sitakisahau. Owky owkyKweli penzi halilazimishwi,laiti lingekuwa linauzwa ningelinunua...
Nitakutunuku kitu ambacho hutakaa unisahau maishani mwako....... Let us close a deal!
njoo nikunong'oneze mtu mwenyewe ili uanze kazi,ukifanikiwa kumtia kwenye himaya yangu... hutatajutia hili dealHapo hapo kitu ambacho sitakisahau. Owky owky
Lets the game begin....
Nakuja uning'ate sikio maana sitaki jutia hiyo deal.njoo nikunong'oneze mtu mwenyewe ili uanze kazi,ukifanikiwa kumtia kwenye himaya yangu... hutatajutia hili deal
Wanapiga ndyo nn?Kuna mahali nimefika kwa mara ya kwanza wanapiga ugali wa mtama asubhi,mchan na jion,aisee nateseka sana na nisipokula nitaonekana nmewadharau,,,bas sku ya tano leo mbona nakoma mie mtoto niliezoea wali samak kwa nazi
KulaWanapiga ndyo nn?