Yeye kasema kabla ya makato anapewa hiyo kweliii...mmhhhInawezekana kiasi hicho ndicho anachochukua nyumbani baada ya makato mengine kama vile kodi,bima,mkopo kama amekopa..ni hii ni kutokana na mshahara wa kuanzia kwa mtu wa shahada serikali ni.Kama sio hivyo kuna ulakini kwenye kiwango hicho.
hapo bado hujaoa mdaiwa
MCHANGANUO MUBASHARA WA DENI LA MKOPO WA ELIMU YA JUU (HESLB) WA KATIBU MWENEZI MTARAJIWA WA CHAUMA
NDUGU @Seneta_Wa_Mtwiz:
Tuition Fee: 780,000 × 3 years = 2,340,000/=
Meals & Accommodation (Boom): 1,800,000 (1 year) × 3 years = 5,400,000/=
Field Allowance: 620,000 × 2 years = 1,240,000/=
Stationery: 200,000 × 3 years = 600,000/=
+
Blah!Blah! Zingine:
TOTAL: 9,580,000/=
MAKADIRIO: 10,000,000/=
----------------------------------------
----------------------------------------
MSHAHARA WANGU KABLA YA MAKATO:
Ni 155,450/= @ Mwezi
(Kwa maneno: Laki moja sitini na tano elfu na mia nne na hamsini TZS).
NI KWA NIA NJEMA TU,
NA SI VINGINEVYO!
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Bora angeishia la nne....mana ht muuza genge kwa mwezi hiyo ni ndg sana kwakeKama mshahara wako kwa mwezi ni Shs 155,000 basi ulipoteza muda wako kwenda kusoma.
Hiyo degree yako ulisomea Urusi? Eti mshahara 155,450/= Halafu ukaisoma laki na sitini na tano? Bahati yako ume-edit mapema! Huo mshahara kwa degree haupo hivyo labda kama wewe ni darasa la 7 na unafanya kazi masjala!
MCHANGANUO MUBASHARA WA DENI LA MKOPO WA ELIMU YA JUU (HESLB) WA KATIBU MWENEZI MTARAJIWA WA CHAUMA
NDUGU @Seneta_Wa_Mtwiz:
Tuition Fee: 780,000 × 3 years = 2,340,000/=
Meals & Accommodation (Boom): 1,800,000 (1 year) × 3 years = 5,400,000/=
Field Allowance: 620,000 × 2 years = 1,240,000/=
Stationery: 200,000 × 3 years = 600,000/=
+
Blah!Blah! Zingine:
TOTAL: 9,580,000/=
MAKADIRIO: 10,000,000/=
----------------------------------------
----------------------------------------
MSHAHARA WANGU KABLA YA MAKATO:
Ni 165,450/= @ Mwezi
(Kwa maneno: Laki moja sitini na tano elfu na mia nne na hamsini TZS).
NI KWA NIA NJEMA TU,
NA SI VINGINEVYO!
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Bora angeishia la nne....mana ht muuza genge kwa mwezi hiyo ni ndg sana kwake
Sio kweli analeta porojoYeye kasema kabla ya makato anapewa hiyo kweliii...mmhhh
Yeah kwa ada ya 1.5milAda Mil. 1.3 au 1.5 afu umesoma miaka minne, hilo deni ni mara mbili ya hili
Na ukitoka jela huajiriki UTUMISHI wa umma ng'oHapo do pagumu. Bora uende jela 3yrs ukitoka imemalizana nao. Sijui inawezekana?
Inanihusu hii.Tutakufatilia kama unajenga utatueleza pesa unatowa wapi kwa mshahara huo.