HahahWa huku kila akiona kibeseni cha maji ya bata anaDive mkuu,,,na yuko vizuri kwa makasia mpaka Bata wakimuona wanakimbilia kunywa maji kabla hajadiba.
ulijuaje kama hayan mbegu??tuliyakaanga kucheki ndani hayana hata mbegu
Hahahahahhome walifanya hivyo akayarudia maayi na mimaji yake
yai lenye mbegu huwa ukiangalia kwenye kiini utaona kakitu kama keupe hivi ile ndiyo mbeguulijuaje kama hayan mbegu??
yalikuwa hayana mbeguHahahahah
Hayakuishia kuwa miviza????
mleta uzi Mungu anakuonachukua ndoo iliyojaa maji, mshike kuku husika kisha mzamishe kwenye maji kwa sekunde mbili kisha muachie aende!
Haah haaa!! Umezingua!!nimesikitika sana baada ya kusoma hii thread, machozi yamenitoka na nimeumia sana nikakumbuka kuna siku nlikula nyama ya kuku ilikuwa imepoa, haina ladha,ngumu na hata rangi yake ilikuwa nyeusi. nimehusisha na kisa hiki kuwa inawezekana yule kuku alifanyiwa ukatili wa namna hii.hivyo akaishi akiwa amechanganyika na amefanyiwa factory default hivyo ameathirika kabisa hadi kwenye nyama.
lakini nikawa inawezekana pia alikuwa na majonzi na msongo wa mawazo na hivyo kupelekea kuishi kwa mawazo kipindi chote mpaka anakuja kuchinjwa. tafadhari wadau msiwatendee hivi hawa wanyama pendwa kabisa hapa nchini.
Hivi kwa kuyaangalia mayai kwa macho waweza gundua kama hayana mbegu ya jogoo? Hebu nipe huo utaalamu mpendwa itasaidia wengi...tuliyakaanga kucheki ndani hayana hata mbegu
Kwani mayai aliwatagia nyie??yule kuku alikuwa mbishi na miyai yake ukipasua ndani ilikuwa haina mbegu.. jogo kumoanda ni mtata mnoo
Kwa Kuangalia nje ya ganda sina utaalamu huo ila najua kwa kupasua yai na Kuangalia ndani. Kingine kumchunguza kuku wako kama a nakubali kupandwa au lah au kama jogoo wako anachagua mademu au lah . Kama jogoo anachagua si mzuriHivi kwa kuyaangalia mayai kwa macho waweza gundua kama hayana mbegu ya jogoo? Hebu nipe huo utaalamu mpendwa itasaidia wengi...
[emoji2] [emoji1]Uonevu huo
ndiyo mkuuKwani mayai aliwatagia nyie??