Jinsi ya kuzuia matangazo kwenye simu

Jinsi ya kuzuia matangazo kwenye simu

Kama ulikopa Tala ama Branch ndo utajuta kuwafahamu.... wanasumbua haooooo.... na utalipa tu.
 
Mm naipenda browser ya Opera mini ila ina ki ndugu chake kinaitwa Opera news basi chenyewe huwa kinaibuka kwa kubabatiza ukiwa unatumia simu basi ikitokea umegusa popote tu kinaanza kujidownload na baadae unakikuta na chenyewe kimejipa siti kwenye App list nikikikuta nakifukuza kwa Ku ki uninstall basi nikikaa Massa kadhaa hicho tena mpaka nimeamua kukiacha ila sasa hv nna mpango wa kuwatimua wote na Dada yake Nyau hawa.
 
Kama ulikopa Tala ama Branch ndo utajuta kuwafahamu.... wanasumbua haooooo.... na utalipa tu.
Wala sijawahi kopa ila pia nimefuta baadhi ya app kimetulia japo sijaelewa nini ilikua shida
 
Mm naipenda browser ya Opera mini ila ina ki ndugu chake kinaitwa Opera news basi chenyewe huwa kinaibuka kwa kubabatiza ukiwa unatumia simu basi ikitokea umegusa popote tu kinaanza kujidownload na baadae unakikuta na chenyewe kimejipa siti kwenye App list nikikikuta nakifukuza kwa Ku ki uninstall basi nikikaa Massa kadhaa hicho tena mpaka nimeamua kukiacha ila sasa hv nna mpango wa kuwatimua wote na Dada yake Nyau hawa.
Hata Mimi hicho kidude cha opera news kinanikera kweli, hafu kina force usome kinguvu,
 
Back
Top Bottom