Download app manager kwenye playstore hii inakuruhusu kuziona hidden installed app ambazo Ndo adware kwa lugha nyepesi virus wa matangazo dhen angalia app yeyote ile ambayo ujawahi install futa then your problem will be solvedhazipatikani play store ziseach google.
Download app manager kwenye playstore hii inakuruhusu kuziona hidden installed app ambazo Ndo adware kwa lugha nyepesi virus wa matangazo dhen angalia app yeyote ile ambayo ujawahi install futa then your problem will be solvedHabarini za jioni wapendwa wana JF nina shida kwenye simu yangu kila nikianza kuitumia kuna mda inastak halafu linakuja tangazo mara la TALA au BRANCH saa nyingine tangazo la magari hivyo naomba mwenye msaada jinsi yakuzuia matangazo hayo anisaidie tafadhali au kama kuna app yakuzuia mnisaidie..
Natanguliza shukurani wakuu
Ukimaliza nenda setting Afu kwenye security Zima allow installation from unknown sources coz hii Ndo main source za matangazo hayo na nyingine through kudownload kitu kwenye linki ambazo sio salamaDownload app manager kwenye playstore hii inakuruhusu kuziona hidden installed app ambazo Ndo adware kwa lugha nyepesi virus wa matangazo dhen angalia app yeyote ile ambayo ujawahi install futa then your problem will be solved
Asante mkuu ngoja nifanye hivyoDownload app manager kwenye playstore hii inakuruhusu kuziona hidden installed app ambazo Ndo adware kwa lugha nyepesi virus wa matangazo dhen angalia app yeyote ile ambayo ujawahi install futa then your problem will be solved
ina virus hyo mkuu, iflash!!Natumia sim aina ya Alcatel na hata kama simu iko scrin of nikitaka kuitumia tu nikiminya batani mpaka nikute tangazo halafu lina alama ya x nikiibonyeza linaondoka ndo nianze kutumia simu halafu kidogo linakuja tena yaani hakuna raha
Uninstall gb whatsappNitazijuaje app hizo mkuu
Samahani mkuu kwakutochangia mada yako. Ila wewe ni Jaji Mruma?Habarini za jioni wapendwa wana JF nina shida kwenye simu yangu kila nikianza kuitumia kuna mda inastak halafu linakuja tangazo mara la TALA au BRANCH saa nyingine tangazo la magari hivyo naomba mwenye msaada jinsi yakuzuia matangazo hayo anisaidie tafadhali au kama kuna app yakuzuia mnisaidie..
Natanguliza shukurani wakuu
Ndio hata mimi napata hiyo kero ya matangazo baada ya ku install gb whatsapp ila nakomaa sababu natumia whatsapp mbili.Hii ninayo kumbe ndo uchawi huu mkuu
Matangazo hayawezi kuja tu ,lazima kuna kitu ulifanya ,Fanya hivi jaribu kukumbuka ni lini matangazo yalianza kujitokeza na hiyo siku kitu gani ulifanya ,jaribu kuunistall free programs ulizo install hizo ndizo zinaleta matangazoHabarini za jioni wapendwa wana JF nina shida kwenye simu yangu kila nikianza kuitumia kuna mda inastak halafu linakuja tangazo mara la TALA au BRANCH saa nyingine tangazo la magari hivyo naomba mwenye msaada jinsi yakuzuia matangazo hayo anisaidie tafadhali au kama kuna app yakuzuia mnisaidie..
Natanguliza shukurani wakuu