Mruma J
Senior Member
- Jan 27, 2018
- 123
- 82
Habarini za jioni wapendwa wana JF nina shida kwenye simu yangu kila nikianza kuitumia kuna mda inastak halafu linakuja tangazo mara la TALA au BRANCH saa nyingine tangazo la magari hivyo naomba mwenye msaada jinsi yakuzuia matangazo hayo anisaidie tafadhali au kama kuna app yakuzuia mnisaidie..
Natanguliza shukurani wakuu
Natanguliza shukurani wakuu