Nashangaa walituwekea hiyo option kwenye mobile default ila wakaitoa!!Sasa hivi ujaribu kwa kutumia PC mode alafu ufanye kama vile unatumia pc.Binafsi nimejaribu ila imekataa kwasababu kuupload haitaki...na nikitaka kutumia ambazo nilishaupload tayari sowezi kuzidrag niziweke pale zinapotakiwa kwasababu nikifanya hivyo nakua nazoom!!Kwahiyo jaribu PC MODE labda kwako itafanya kazi fresh!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.