Toka mjijni ulipo, nenda vijijini sehemu yenye ardhi kubwa na yenye rutuba na mvua nyingi. Nunua ardhi kama unaweza heka kuanzia 50 hivi. Nunua mbuzi au ng'mbe anza kufuga. Jenga nyumba ya kawaida ya miti na udongo, hakikisha mifugo inazaliana kila mwaka. Endelea hivyo hadi kundi liwe kubwa mbuzi kama 1000 au ng'ombe kam 150 hivi. Hii inahitaji uvumilivu wa kama miaka 10 na baada ya hapo utakuwa na angalau million 100, hizi zinatosha kutokea.