Jinsi ya kutongoza

Nakumbuka kule Nairobi Kuna mitaa ukipita unakutana na hawa wa Beijing wanakuambia "karibu costomer iko fresh"
 
Hivi huyu mtoto wa mjini lara 1 nitampataje
walahi namhitaji sana binti huyu maana kauli zake tu mie hoi
 
Last edited by a moderator:
Mbona aina ya utongozaji wako ni mgumu sana ewe mlete uzi?Mimi huwa namuangalia mwanamke kwa ustadi kama dakika nane hivi bila kubonga chochote na yeye mwenyewe ananiomba namba ya simu kwa muendelezo ulio bora zaidi.:D:thumbup:
 
natoa tuition, guarantee demu yeyote yule wa mjini, muda ni wiki mbili, nakupa mwongozo mpaka siku unakula tunda. ni PM

2 weeks? Seriously? Tafta mbinu nyingine boss hiyo imepitwa sana na wakati. Kuna watu leo anakutana nae kesho au kesho kutwa kishamaliza kazi i mean hadi mzigo kisha piga. Na ni hao mnaowaita wakali (classic/waifu material) sio wale wakujiseli.
 
Your not serious, hata kama kavaa dela linalofanana na mfuko wa unga wa mashineni nimwambie amependeza!
 
Mmmh... Mi naamini kila mtu ana namna yake ya kutongoza... Hakuna formula ya kutongoza bana...!

Na mahala mlipokutana kabla ya kuanza kutongoza panamata sana... mkikutana club mtongozo wake ni tofauti na mkikutana maeneo ya kanisani
 
Wewe kwa viwango vya wadada wa mujini GAME LAKO LIPO CHINI SANAAAAA! Maybe unatongoza watoto wa kitaaa sio WADADA WA MUJINI! Mimi hapo huningoi hataaaa!

Sasa ngoja nikupe muongozo wa kumngoa mdada yeyote wa mujini bila presha!

1. Usimpe namba kwa kuitaja ili aiandike, Noooo! Mpe business card ili ajiridhishe bila shaka lolote mambo yote kuanzia title, jiofisi unalofanyia, na details zingine.
2. Business card iambatane na mwekundu au hata 2 au 3 for voucher! Ukisisitiza hutaki kumtia gharama ya kukutafuta.
3. Sehemu ya mazungumzo mwache aitaje yeye, alafu propose mahali babkubwaaa zaidi ajione kwako yeye badooo sanaaa!
4.Mkikutana usimtafute tenaa! Mskilizie tu umuone.
5. Akikutafuta ujue umewini jumla jumla na no mizinguo tena!!!

ANGALIZO
Hizi mbinu kwa wasio oa tu! We una mke jichanganye kuipa details nyumba ndogo, mkigombana unamkuta ofisini mapokezi anakungoja!!! LOLEST!!!!!!!!!!!!


Huu tunauita mtongozo wa kiutu uzima, wengi humu ni vijana na vitoto vya chuo lazma watashindwa na wakijitutumua jua siku kadhaa mbele watagongea msosi kwa washikaji ama kupiga - kabisha.
Usiwatishie sana wakaishia kupiga puli na kula kwa macho
 
Wewe kwa viwango vya wadada wa mujini GAME LAKO LIPO CHINI SANAAAAA! Maybe unatongoza watoto wa kitaaa sio WADADA WA MUJINI! Mimi hapo huningoi hataaaa!

Sasa ngoja nikupe muongozo wa kumngoa mdada yeyote wa mujini bila presha!

1. Usimpe namba kwa kuitaja ili aiandike, Noooo! Mpe business card ili ajiridhishe bila shaka lolote mambo yote kuanzia title, jiofisi unalofanyia, na details zingine.
2. Business card iambatane na mwekundu au hata 2 au 3 for voucher! Ukisisitiza hutaki kumtia gharama ya kukutafuta.
3. Sehemu ya mazungumzo mwache aitaje yeye, alafu propose mahali babkubwaaa zaidi ajione kwako yeye badooo sanaaa!
4.Mkikutana usimtafute tenaa! Mskilizie tu umuone.
5. Akikutafuta ujue umewini jumla jumla na no mizinguo tena!!!

ANGALIZO
Hizi mbinu kwa wasio oa tu! We una mke jichanganye kuipa details nyumba ndogo, mkigombana unamkuta ofisini mapokezi anakungoja!!! LOLEST!!!!!!!!!!!!

Tuliooa tutapima kama zinafanya kazi, akinitafuta namwambia nimehama mkoa
 
Back
Top Bottom