Jinsi ya kutongoza

Jinsi ya kutongoza

Kazi kwenu watongozaji! Kumbe mnahitaji darasa? lol poleni, itabidi mtafute na mwalimu wa twisheni ili muelewe vizuri
 
Wewe mwanamuke umeorewa au maraya? Hii ni ya kikurya. The truth is hakuna formular. Sana sana siku hizi ukichelewa kutongoza mwanamke anakutongoza laivu.
 
hizi hapa hatua muhimu kabisa za kumtomgoza mwanadada ndani ya dakika chache tu atakuwa amekubali.
Mwanamke huwa navutiwa sana na mwanaume ambaye ni mkorofi kiasi fulani.
1. Hakikisha mara ya kwanza kabisa unamgusa labda kwenye bega au sehemu ambayo si ya kumdhalilisha.
2. Hapo utakua umeanzisha mazungumzo na huyo mwanadada.
3. Usimwambie ninaomba namba ya simu bali mpe simu yako na umwambie aandike namba yake kwenye simu yako.
4. Mkaribishe sehemu ya pembeni ili muweze kuongea.
5. Mguse begani mwambie amependeza sana. (msifie)
Hapo changanya na za kwako

Hiyo niliwahi kumpata demu kiulaini ndani ya daladala tukiwa tumesimama watu nyomi, kina mama watu wazima wakinichungulia wasipata kuamini BIG UP FOR THE TIPS!
 
Wewe mwanamuke umeorewa au maraya? Hii ni ya kikurya. The truth is hakuna formular. Sana sana siku hizi ukichelewa kutongoza mwanamke anakutongoza laivu.
Sasa murah hapa wakurya tena tumeingiaje mbane, wacha uchokozi murah.
 
Hakika kutongoza hakuna formula. Kutongoza kunakwenda na mazingira.
Kila mwanamke kuna jinsi yake ya kumtongoza.

Hakuna formula.
 
Labda unaemtongoza kwa style hii na yeye alikua anataka. Kama sivyo basi sahau Mpwa siku hizi wakali kweli sharti aichungulie Ze Tembo card first
 
Wewe kwa viwango vya wadada wa mujini GAME LAKO LIPO CHINI SANAAAAA! Maybe unatongoza watoto wa kitaaa sio WADADA WA MUJINI! Mimi hapo huningoi hataaaa!

Sasa ngoja nikupe muongozo wa kumngoa mdada yeyote wa mujini bila presha!

1. Usimpe namba kwa kuitaja ili aiandike, Noooo! Mpe business card ili ajiridhishe bila shaka lolote mambo yote kuanzia title, jiofisi unalofanyia, na details zingine.
2. Business card iambatane na mwekundu au hata 2 au 3 for voucher! Ukisisitiza hutaki kumtia gharama ya kukutafuta.
3. Sehemu ya mazungumzo mwache aitaje yeye, alafu propose mahali babkubwaaa zaidi ajione kwako yeye badooo sanaaa!
4.Mkikutana usimtafute tenaa! Mskilizie tu umuone.
5. Akikutafuta ujue umewini jumla jumla na no mizinguo tena!!!

ANGALIZO
Hizi mbinu kwa wasio oa tu! We una mke jichanganye kuipa details nyumba ndogo, mkigombana unamkuta ofisini mapokezi anakungoja!!! LOLEST!!!!!!!!!!!!


Amakweli tusiojua kutongoza mbona tutakiona cha moto. Nyie wakina dada nyie hebu kuweni na huruma jamani, mapenzi ni shida na raha jamani, sio mnapenda raha tu. Bora hata inakuwa unagharamia hivi halafu uhakika wa kumpata msichana upo, maana kidume unaweza ukajituma hapo kumbe mtu ana mtu wake hakwambii. Yaani hapa ni bora kusubiri miujiza ya Mungu tu
 
ngoja nkajipange upya kila ntakaekutana nae tu ni mwendo wa kumshika BEGANI na kumkabidhi simu mkononi......no more talks


Mkubwa kuwa makini mzee, maana kwa hii formula ukiteleza tu...........umeonekana kikatuni.
 
we sosholana mu fesbuuuk, dont give me ur number... *mdundo* www dot msanjawena dot coom,

mambo yote facebook, nani anatongoza siku izi?
 
hahahaaaaaaaaa we wadanganye wenzio tu, men don't try this kama hamtaki kudhalilika.........

From nowhere umshike mwanamke bega? Humjui au hakujui? Kisa umwambie amependeza.....

Uwiiiiiiii

anyway labda kuna baadhi ya wanawake wanazikubali lakini mmmmmmmmmh
 
Amakweli tusiojua kutongoza mbona tutakiona cha moto. Nyie wakina dada nyie hebu kuweni na huruma jamani, mapenzi ni shida na raha jamani, sio mnapenda raha tu.......Bora hata inakuwa unagharamia hivi halafu uhakika wa kumpata msichana upo.....maana kidume unaweza ukajituma hapo kumbe mtu ana mtu wake hakwambii.......................Yaani hapa ni bora kusubiri miujiza ya Mungu tu

hahahaha loh!
 
Wewe kwa viwango vya wadada wa mujini GAME LAKO LIPO CHINI SANAAAAA! Maybe unatongoza watoto wa kitaaa sio WADADA WA MUJINI! Mimi hapo huningoi hataaaa!

Sasa ngoja nikupe muongozo wa kumngoa mdada yeyote wa mujini bila presha!

1. Usimpe namba kwa kuitaja ili aiandike, Noooo! Mpe business card ili ajiridhishe bila shaka lolote mambo yote kuanzia title, jiofisi unalofanyia, na details zingine.
2. Business card iambatane na mwekundu au hata 2 au 3 for voucher! Ukisisitiza hutaki kumtia gharama ya kukutafuta.
3. Sehemu ya mazungumzo mwache aitaje yeye, alafu propose mahali babkubwaaa zaidi ajione kwako yeye badooo sanaaa!
4.Mkikutana usimtafute tenaa! Mskilizie tu umuone.
5. Akikutafuta ujue umewini jumla jumla na no mizinguo tena!!!

ANGALIZO
Hizi mbinu kwa wasio oa tu! We una mke jichanganye kuipa details nyumba ndogo, mkigombana unamkuta ofisini mapokezi anakungoja!!! LOLEST!!!!!!!!!!!!

me hii haitanifaa kwani jina la ofisi tu nikimtajia binti anachanganyikiwa, nikimpa kadi si atanifuata...hii itaniletea matatizo kabisaa
 
dah..ndo maana nilihangaika sana.....hebu tiririkeni....
 
kugusa watu mabega wengine waume zao wako nyuma wanakuona
unadundwa bure.....lol

THE BOSS, umenifurahisha sana halafu nimekumbuka juzi gf wangu alikuwa ktk sherehe fulani wamemng'ang'ania mara kafunika, mara Mrembo, picha wapige naye...me najiuliza hawajui VIZURI NI GHARAMA...UKIONA VYAELEA VIMEUNDWA UNALETA CHOKOCHOKO KUMBE MKE WA MTU UTACHEZEA NUNDU
 
Back
Top Bottom