Jinsi ya kutongoza Mwanaume

Ukimtongoza mwanaume hawezi kukuheshimu Hata kidogo they are wired kutongoza..msijarib kutongoza wadada ni fedheha ni kama kumchangia mwanaume mahali yako mwenyewe
 
Wenye kuchukua namba chukueni namba ila angalizo........
 
weee wacha maneno yako... kwa namna hiyo utampata nani... we badala unionyeshe paja alafu uniweke mazingira mazuri nile mzigo ndo ulete hizi habari....

Simple risk taking... unakuwa tu kama muuza karanga, unaonjesha huwezi jua mtu anaweza kununua kapu zima
 
Mchicha mwiba huu unacheza na akili za watu sasa we jifanye una ugwadu mtafutane na huyo mtu Utakuja kusimulia hapa..
 
Atua zote izo,akinitega tu inatosha
 
Mchicha mwiba huu unacheza na akili za watu sasa we jifanye una ugwadu mtafutane na huyo mtu Utakuja kusimulia hapa..
Labda aje kwa njia ya data.. Hahaha... I can handle this Internet gambling.

Ila asanti, members,for my research, na sasa I have something to write.
 
you are so clever
The last sentence "TUONANE APRIL"

my research survey is over, thanks for those who have been struggling to get thru..... By attractions of avatar.


.... Real name Christopher.
GENDER male.

MA. University of Nairobi.
 
Wanawake wanapata taabu kwel yaani kuhangaika kote je kumwambia nakupenda direct Kwan itabadilisha maana?

Wana allergy ya asili hivyo, wakiongea wanaweza kutoka upele ama kuwashwa mwili mzima....

Huu Uzi naona kama waliandikiwa wadada wa kipindi kile cha kusubiriana chini ya muembe maana maujuzi yamekaa kilokole sana kwa maana madada wa siku hizi wanafikiria kukutamanisha kingono zaidi NA hawajui kuwa "UKINITAMANISHA KINGONO, UTANIPATA ILI TUNGONOKE NA BIASHARA IMEISHIA HAPO"....
 

Naomba nikufate inbox WhatsApp.
Hii mada mbona mwendelezo ya Ile ya Jana? kuwa wanaume sijui vp.
 
The last sentence "TUONANE APRIL"

my research survey is over, thanks for those who have been struggling to get thru..... By attractions of avatar.


.... Real name Christopher.
GENDER male.

MA. University of Nairobi.
nakumbuka posti yako ya kwanza uliomba ushauri ulienda kupima ngwengwe profile pic yako umevaa miwani kama fundi welding
 
nakumbuka posti yako ya kwanza uliomba ushauri ulienda kupima ngwengwe profile pic yako umevaa miwani kama fundi welding
Thanks for keeping that under the skin.
Hiyo huitwa mabesthe damu. & Dat image was real me fundi welding... Hahaha.. Adds funny burst into tears Hahaha....
How are you doing anyway....?
 
Urasimu mwingi mno...
Namba zako tena zA nini
.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…