Jinsi ya kutongoza Ma-Housegirl

Jinsi ya kutongoza Ma-Housegirl

Old Member (Retired)

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2012
Posts
3,401
Reaction score
1,618
Hakuna asiyekubali kuwa kuna mahousegirl wazuri kushinda watoto wa mama mwenye nyumba na mahouse girl wengine ni wakali kuliko mama mwenye nyumba

Sasa leo MZUNGU MZEE nataka kuelezea maeneo ambayo unaweza kukutana na mahouse girl na kuwatongoza.

MAENEO YA KUWAPATA MAHOUSE GIRL NI;

1. Shule za Nursery, housegirls wengi hupeleka watoto wa mama wenye nyumba mashuleni. kwahiyo unachotakiwa kufanya ni kuwahi asubuhi na mapema unakaa kwenye shule yoyote ya nursery na kusuburia mabeki 3 wanavyoleta watoto shule, mara nyingi ni kuanzia saa moja na nusu mpaka saa tatu. Au mchana muda wa kutoka kuanzia saa saba mpaka saa kumi.

2. Magengeni, hapa tegea mida ya saa nne nne ambapo mabeki 3 wengi wanakuwa tayari wametoka kusindikiza watoto shule hivyo wameenda kununua mboga na nyanya kwaajili ya chakula cha mchana.

3. Wanapouza maziwa ya ng'ombe,
hapa unakaa nyumba yoyote ile mtaani kwenu ambayo wanauza maziwa ya ng'ombe unasubiria mabeki 3 wakitumwa kununua maziwa.

4. Wanapouza maji, kama upo jiji lenye shida ya maji mabeki 3 utawapata kiurahisi sana maana wao ndio hutumwa muda wote kuchota maji.

Ukikaa zako kwenye maeneo hayo unamsubiria mabeki 3 huwezi kukosa wa kujichapia, very cheap, unampa hela ya kusukia nywele za twende kilioni kazi imeisha


Wenu katika kazi,
MZUNGU MZEE


View attachment 203379
 
Mkuu sasa hujatoa tips za jinsi ya kutongoza badala yake umeweka maeneo wanayopatikana kwa urahisi......??
 
Wewe mzushi tu.....watu tumekaa mkao wa kupata material alafu unatuzingua.....
 
Hizi threads nyungine ni sheeddaaaaaah!!!! Kha!!!! Kazi ipo wallahi!!!
 
Hakuna asiyekubali kuwa kuna mahousegirl wazuri kushinda watoto wa mama mwenye nyumba na mahouse girl wengine ni wakali kuliko mama mwenye nyumba<br>
<br>
Ukikaa zako kwenye maeneo hayo unamsubiria mabeki 3 huwezi kukosa wa <strong>kujichapia, very cheap,</strong> unampa hela ya kusukia nywele za twende kilioni kazi imeisha<br>
<br>
<br>
Wenu katika kazi, <br>
<strong><a href="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=188116" target="_blank">MZUNGU MZEE</a></strong><br><br>
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=203379&amp;stc=1" attachmentid="203379" alt="" id="vbattach_203379" class="previewthumb">
We MZUNGU MZEE, unauelewaje usemi "cheap is always expensive "
 
Mleta uzi inaonyesha alipata ufaulu usioridhisha maana heading na kilichomo haviendani
 
Mtoa sitaki kukubeza maana nimetumia muda kusoma post yako.
Ushauri wangu: hii post inafaa ikae jukwaa la jokes.
Kwa wati wenye akili timamu kua na beki tatu ni kumtafutia risk mtoto wa watu ili mwisho wa siku afukuzwe mjini, na huko anakorudi na hizo mimba zenu watoto wenu wakizaliwa watateseka sana.
Ukimuona beki tatu jenga urafiki ikibidi uwe mshauri wake ili adundulize ela ajifunze hata kushona nguo, au asome hata QT, wengine hata kusoma na kuandika hawajui hivyo tumia ubinadamu wako kumsaidia ila sio kumharibu kwa kumdanganya huku unajua kabisa kwamba huwezi kua na future nae.
 
Sitaki kukubez mtoa mada, kwa sababu nimetumia muda kusoma post yako.
Ushauri wangu:
1. Kuwa na beki tatu bila kua na future nae ni kumuongezea risk mwenzio, kumbuka huko alipotoka hali ni ngumu sana, ukimpa ujauzito lazima boss wake atamfukuza na huko anakorudi akijifungua mwanao atateseka sana.

2. Kama una mazoea na beki tatu mfanye awe mdogo wako ili upate fursa ya kumshauri ili mwisho wa siku awe na maisha yake yenye maana, kwa mfano kuna wengine hata kusoma hawajui hivyo ukimshauri adundulize ela imsaidie kujifunza kusoma ni jambo jema, mwingine amefeli kidato cha nne mpe moyo asome hata QT au areseat mtihani, mshauri ajifunze kushona nguo ili mwisho wa siku atengeneze maisha yake.

3.hii post yako nashauri kwa mawazo hayo ungeipeleka kwenye jukwaa la jokes.
 
Back
Top Bottom