Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,618
- Thread starter
- #21
Kazi utafanya saa ngapi??
we muda wote upo jf kazi unafanya sangapi?
yule jamaa alisema anatafuta msichana wa kusimamia biashara yake hajakuita bado?
Kazi utafanya saa ngapi??
Aisee kweli wii hata mi nmeona
we muda wote upo jf kazi unafanya sangapi?
yule jamaa alisema anatafuta msichana wa kusimamia biashara yake hajakuita bado?
Maana mtu na kazi yake atapata wapi huo mda wa kumnyemelea housegirl?hao ni wale kula kulala
Kazi anafanya shemeji bwana ye kuvimbisha tumbo.....watu kama hawa siku shemeji akimtongoza atalalamika?
Sitaki kukubez mtoa mada, kwa sababu nimetumia muda kusoma post yako.
Ushauri wangu:
1. Kuwa na beki tatu bila kua na future nae ni kumuongezea risk mwenzio, kumbuka huko alipotoka hali ni ngumu sana, ukimpa ujauzito lazima boss wake atamfukuza na huko anakorudi akijifungua mwanao atateseka sana.
2. Kama una mazoea na beki tatu mfanye awe mdogo wako ili upate fursa ya kumshauri ili mwisho wa siku awe na maisha yake yenye maana, kwa mfano kuna wengine hata kusoma hawajui hivyo ukimshauri adundulize ela imsaidie kujifunza kusoma ni jambo jema, mwingine amefeli kidato cha nne mpe moyo asome hata QT au areseat mtihani, mshauri ajifunze kushona nguo ili mwisho wa siku atengeneze maisha yake.
3.hii post yako nashauri kwa mawazo hayo ungeipeleka kwenye jukwaa la jokes.
kumbe hujuo kutongoza mkuu?