Jinsi ya kutongoza hapa Jamiiforums

Jinsi ya kutongoza hapa Jamiiforums

Duh, aisee na mimi nimtaje King'asti, maana sijamwona muda!!!
 
Last edited by a moderator:
Hehhehe jihadhari moyo wa mtu kiza kinene,japo umesema ya ukweli kiasi chake,
Mmmhh jamani kama kweli mbona mie ulinipiga za uso, au hukuziona tag na like zangu japo nilijitahidi sana au kuna idadi inatakiwa ifikiwe?
 
Kumbe kuna mbunye mmu..aise sikujua mimi nakoomaaga kutoa ushauri tu na kushauriwa..ndo maana naelewana na wake za watu tu hapa..
 
hahhaha sijaziona aisee...idadi haijawa kubwa lol
Aiseee itabidi niongeze juhudi maana huyu jamaa amenifumbua macho, maana nilidhani ya humu yanaishia humu humu kumbe yanamuendelezo nje ya humu.
 
MCHUNGUZI ushavujisha teali siri za jeshi' ila hakuna shinda bhana tutabuni tu njia mpya.
 
Kuna team humu toka uzi uanze hawajatokea kabisa, wamekuwa kama ukungu na jua la asubuhi. Ila kweli bora muiname msubiri huu upepo upite msiwe kama mpapai.
 
Vijana wengi hapa jamiiforums wanashindwa kupata wanawake mpaka inafika hatua watu wanaanzisha thread ikihoji ''hivi kuna mtu ameshawahi pata demu jf?'' ukweli ni kwamba hapa JF kuna mbunye nyingi sana ila tatizo vijana wengi hawajui jinsi ya kupata, Ungana nami MCHUNGUZI HURU katika uchunguzi wangu nilioufanya kipindi cha karibuni....

KOSA KUBWA LINALOFANYWA NA WATONGOZAJI NI:
Kwenda PM moja kwa moja na kuanza kuuliza taarifa personal. Uchunguzi wangu umebaini ya kuwa wanawake wengi waliofatwa PM moja kwa moja wamekuwa wachoyo wa taarifa, wanakosa imani kwa muombaji wa taarifa, hivyo wanahitaji mazoea kwanza kabla ya kuombana taarifa. Nani asiyejua kuwa kufahamiana pamoja na kuchukua namba ya simu ni moja ya hatua kubwa ya kutongozana?? Ukienda PM moja kwa moja hupewi taarifa yoyote ile wala namba za simu kudadeki zako.

UFANYE NINI:?
Ndugu watongozaji, uchunguzi wangu umebaini kuwa wengi wanaogegedana hapa jamiiforums walianza kwa kutengeneza mazoea pamoja na utani wa hapa na pale kabla hawajaenda PM. Huwa wanatengeza vipi mazoea? Ndugu watongozaji, mazoea yanatengezwa kwa:
1. kuhakikisha una-comment kila thread atakayotoa huyo unaye mmendea
2. kuhakikisha una-like post zake popote pale utakapoziona
3. kuhakikisha unam-mention katika thread au post utakayovutiwa nayo
4. ukiona post yake MMU, unamtania.

tEknIKI zao utasikia: Mamndenyi njoo huku au miss chagga unapigwa majungu huku au mpenzi wangu masai dada mbona upo kimya sana au kigori wa kilwa mchepuko wangu pitia hapa usome......... Ukiona hivyo ujue ni wale ndugu watongozaji wajanja wanajitengenezea mazingira

Kwa kufanya hivyo utakuta nae siku nyingine anaku-mention katika thread mbalimbali ujue mazoea yameshanoga, hapo ukienda PM hausumbuliwi, hata kukunyima namba yake ya simu atakuonea aibu lakini ukienda kichwa kichwa mbunye za JF utazisikia tu redioni.
MCHUNGUZI HURU

Great mind....
 
We MchunguZI umetuharibia kuanika mbinu zetu humu....sasa hta namba tutakuwa hatupati
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom