draga
JF-Expert Member
- Jul 19, 2020
- 528
- 501
Hela tunatafuta ina hzo mambo tunafanya ukifanikiwa ulimwengu wa kiroho , kimwili Ni rahisi snaJaman ndg zangu tuendelee tu kutafuta hela, mambo ya Astra projection tumuachie rakims na wenzake
Hela tunatafuta ina hzo mambo tunafanya ukifanikiwa ulimwengu wa kiroho , kimwili Ni rahisi snaJaman ndg zangu tuendelee tu kutafuta hela, mambo ya Astra projection tumuachie rakims na wenzake
Mada nimeipenda ila kutoka ndo kugumuHongera mkuu kwa kuweza kuaccess moja ya Psychic powers I'm sure jicho la tatu kwako pia na second sight vipo vizuri
Rakims
Kitambo sana sijaanhalia the blacklist, huyo Samayna simjuiHahahaha nilimwona samayna varbi Ila hii kitu Ni real kabsa trust me
Jimejaribu mara nyingi mno lakini wapi, na wanao fanikiwa sijui wanawezajeAya mambo tuyaache kama yalivyo
@Rakims mwanzo nilikuwa naishi maeneo ya karibu na barabara, hivyo kila dakika gari au pikipiki lazima ipite hata kama ni saa sita za usiku, si unajua tena pilika na town haziishi. Kwahiyo kila nikijaribu AP nilikuwa nafeli, nikafikiri labda haya magari yananiletea disturbance.@Rakims Rakims post: 39574638 said:Niandikie jinsi unavyofanya nijue unakwama wapi?
Mkuu Rakims habari.Ndio mkuu na inaweza kuwa ndio njia nzuri zaidi ya wao wenyewe kujiponya natamani ningeweza kukutana nao katika shule zao maana kwa njia hii wangeweza kuenjoy maisha in other form
Habari mkuu hii namba 4 ndio kosa lako,@Rakims mwanzo nilikuwa naishi maeneo ya karibu na barabara, hivyo kila dakika gari au pikipiki lazima ipite hata kama ni saa sita za usiku, si unajua tena pilika na town haziishi. Kwahiyo kila nikijaribu AP nilikuwa nafeli, nikafikiri labda haya magari yananiletea disturbance.
Sasa tangu niondoke sehemu hiyo na kuja hapa nilipo sasa hivi ni yapata wiki ya tatu, nipo sehemu tulivu sana hasa kuanzia time ya saa 5 usiku. Hivyo nikajaribu tena AP kwa kufuata procedures zote ulizoandika lakini bado nafeli, japo nilifanya siku kama nne hivi mfululizo pasipo effect yeyote. Mwisho nikaamua kuacha nikifikiri labda hii issue ni selective.
Jinsi nilivyofanya...
1. Nalala chali
2. Nafumba macho
3. Naanza kupumua taratibu
4. Navuta picha kama vile nipo angan au sehemu fulani ninayoifahamu nikiwa napaa.
To tell you the hard truth-This is satanic.Lengo la haya mambo watu hawaambiwi ukweli ila kiuhalisia ni kukupeleka to the point ya kuamini wewe ni unaweza kutenda kama MUNGU anavyotenda (kujiamini wewe ni mungu).Haya mambo yalikuwepo tangia kale na kale na usidhanie firauni alipokuwa anajiamini yeye ni mungu ilitokea from no where-Ni kwenye mambo kama haya. Experience utakayokuwa unaipata kadri unavyokuwa unaelekea kwenye hii advanced stance ni role ya MUNGU kupungua maishani mwako,wakati kiuhalisia jambo la ki-MUNGU linapaswa kukuongezea more inner peace and love ya Mwenyezi MUNGU kadiri unavyoenda kwenye advanced stage lakini hii astra-p. ipo vice versa. Ukishafikia kwenye advanced stage ya Astra projection tegemea siku moja utakuja kuona kukufuru Holy Trinity ni jambo la kawaida au kuamini hakuna Mungu kabisa.Kabla ya kufungua hii pandora box waulize watu kama Pascal Mayalla pengine watakueleza kwa uwazi ili ufanye maamuz sahihi.Kwenye mambo kama haya watu wanaomba mpaka kutembea na wake za watu na wanafanikiwa which is against scriptures.Ukweli ni kwamba MUNGU ni Mtakatifu na yote yanayohusiana nae ni Matakatifu.Ni sawa na meditation,hata kweye catholic church inaruhusiwa ikiwa tu ni Godly centered kama ku-meditate kwa kuwaza scriptures nk. and not on other unholy things including your self.Jimejaribu mara nyingi mno lakini wapi, na wanao fanikiwa sijui wanawezaje
Hii astral P. inayofundishwa hapa ni Human-centered na siyo God-centered.To tell you the hard truth-This is satanic.Lengo la haya mambo watu hawaambiwi ukweli ila kiuhalisia ni kukupeleka to the point ya kuamini wewe ni unaweza kutenda kama MUNGU anavyotenda (kujiamini wewe ni mungu).Haya mambo yalikuwepo tangia kale na kale na usidhanie firauni alipokuwa anajiamini yeye ni mungu ilitokea from no where-Ni kwenye mambo kama haya. Experience utakayokuwa unaipata kadri unavyokuwa unaelekea kwenye hii advanced stance ni role ya MUNGU kupungua maishani mwako,wakati kiuhalisia jambo la ki-MUNGU linapaswa kukuongezea more inner peace and love ya Mwenyezi MUNGU kadiri unavyoenda kwenye advanced stage lakini hii astra-p. ipo vice versa. Ukishafikia kwenye advanced stage ya Astra projection tegemea siku moja utakuja kuona kukufuru Holy Trinity ni jambo la kawaida au kuamini hakuna Mungu kabisa.Kabla ya kufungua hii pandora box waulize watu kama Pascal Mayalla pengine watakueleza kwa uwazi ili ufanye maamuz sahihi.Kwenye mambo kama haya watu wanaomba mpaka kutembea na wake za watu na wanafanikiwa which is against scriptures.Ukweli ni kwamba MUNGU ni Mtakatifu na yote yanayohusiana nae ni Matakatifu.Ni sawa na meditation,hata kweye catholic church inaruhusiwa ikiwa tu ni Godly centered kama ku-meditate kwa kuwaza scriptures nk. and not on other unholy things including your self.
Mkuu John7371 , asante sana kwa hii, kiukweli Lusiferi na wafuasi wake, wanaitumia sana mitandao ya kijamii kutafuta wafuasi, hivyo humu kwenye mitandao ya kijamii kuna ushetani mwingi. Mimi ni mmoja wa wachangiaji wa mwazo wa uzi huu, mchango wangu ni post ni. 4 na nilitoa ushauri huuTo tell you the hard truth-This is satanic.Lengo la haya mambo watu hawaambiwi ukweli ila kiuhalisia ni kukupeleka to the point ya kuamini wewe ni unaweza kutenda kama MUNGU anavyotenda (kujiamini wewe ni mungu).Haya mambo yalikuwepo tangia kale na kale na usidhanie firauni alipokuwa anajiamini yeye ni mungu ilitokea from no where-Ni kwenye mambo kama haya. Experience utakayokuwa unaipata kadri unavyokuwa unaelekea kwenye hii advanced stance ni role ya MUNGU kupungua maishani mwako,wakati kiuhalisia jambo la ki-MUNGU linapaswa kukuongezea more inner peace and love ya Mwenyezi MUNGU kadiri unavyoenda kwenye advanced stage lakini hii astra-p. ipo vice versa. Ukishafikia kwenye advanced stage ya Astra projection tegemea siku moja utakuja kuona kukufuru Holy Trinity ni jambo la kawaida au kuamini hakuna Mungu kabisa.Kabla ya kufungua hii pandora box waulize watu kama Pascal Mayalla pengine watakueleza kwa uwazi ili ufanye maamuz sahihi.Kwenye mambo kama haya watu wanaomba mpaka kutembea na wake za watu na wanafanikiwa which is against scriptures.Ukweli ni kwamba MUNGU ni Mtakatifu na yote yanayohusiana nae ni Matakatifu.Ni sawa na meditation,hata kweye catholic church inaruhusiwa ikiwa tu ni Godly centered kama ku-meditate kwa kuwaza scriptures nk. and not on other unholy things including your self.