Kapyepye Mfyambuzi
JF-Expert Member
- Jun 18, 2020
- 542
- 918
Hata Mimi nilikua kama wewe, lakini Sasa hivi namshukuru Mungu, tumia beats itakusaidia usilaleMbona nimezingatia kila kitu Ila naishi kulala tu
Hata Mimi nilikua kama wewe, lakini Sasa hivi namshukuru Mungu, tumia beats itakusaidia usilaleMbona nimezingatia kila kitu Ila naishi kulala tu
Yani najishangaa hata mchana kweli naishi kulala duh whyHata Mimi nilikua kama wewe, lakini Sasa hivi namshukuru Mungu, tumia beats itakusaidia usilale
beats ipo jeHata Mimi nilikua kama wewe, lakini Sasa hivi namshukuru Mungu, tumia beats itakusaidia usilale
Tumia beat tu fikra zako zitakuwa macho wakati mwili unachukua nafasi yake ya kulala. Mwenyewe utajishangaaYani najishangaa hata mchana kweli naishi kulala duh why
ww umetumia beat kuweza kufanikisha zoezi la kutokaTumia beat tu fikra zako zitakuwa macho wakati mwili unachukua nafasi yake ya kulala. Mwenyewe utajishangaa
Ingia YouTube andika "benaural beats" au "meditation beats"beats ipo je
Ndio Kwanza Raha ya kutumia beats hauhisi au kuweka mawazo ya kuichunguza process wakati wa kutoka ambavyo wengi huwa inawasababishia hofu, wewe focus yako tu iwe kwenye beats utajishangaa vibrations imeongezeka na unaanza kujiona unaanza kuelea juuww umetumia beat kuweza kufanikisha zoezi la kutoka
We unatoka kwa kutumia beatKwakweli Shukran Sana kwa mkufunzi Rakims na wadau wengine ambao wali share uzoefu wao
Acha punyeto au uache ngono kwa kitamboMbona mm naishi kulala nikianza zoezi nakosea wap
Unarudi vizuri tu na hadi mtu akaribie kukugusa utaona vibration inazidi kwenye silver cord mkuuKama ulienda umelala chali halafu mtu akaja akakugeuza mfano kiubavu eti hauwezi tena kurudi kwenye mwili wako?
Kuwa enlightened ni kufanikiwa kile ulichokuwa unakitafuta mkuu kama ni kuongeza nguvu za miujiza au kuongeza hekima au kuelewa dunia kwa upana yaani kuwa enlightened ni kama kwamba mtu alikuwa gizani kiroho sasa kaingia kwenye mwanga ina maana pana isipokuwa kuna baadhi ya societies zinazofundisha hapa Dar wanadai humfikisha mtu kuwa enlightened lakini ukisikiliza wanachosema ni upuuzi fulani fulani maana hata anaewafundisha hajawahi kuwa enlightenedMkuu unaweza kunielezea maana hasa ya kuwa spiritual enlightened?? Nini hasa maana yake?? Kuna ishara zimenitokea ambazo inaonesha nipo katika hatua hiyo.
Pia nilifanikiwa kufanya AP. But now since nimeacha Meditation imekuwa ngumu sana.
Nikisema unaota mkuu namaanisha hakuna kitu kama hicho astral projectionsio kama naota ni live nakuwa najiona kama mm ndo ulimwengu yan kama mm ndo space naonaga raha sana kwa kwel ila sijawai vuka hapa
Shauri zuri mkuu lakini usipotoshe watuUsimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Usije ukafanana naye. Umjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Asije akawa mwenye hekima machoni pake. Apelekaye ujumbe kwa mkono wa mpumbavu Hujikata miguu, na kunywa hasara. Miguu yake achechemeaye huwa dhaifu; Kadhalika mithali katika kinywa cha mpumbavu. Kama mfuko wa vito katika chungu ya mawe; Kadhalika mtu amheshimuye mpumbavu. Kama mwiba uingiao katika mkono wa mlevi; Kadhalika mithali katika kinywa cha mpumbavu. Fundi stadi hufanyiza vitu vyote; Bali amwajiriye mpumbavu ni kama awaajiriye watu wapitao. Kama vile mbwa arudiavyo matapiko yake; Kadhalika mpumbavu afanya upumbavu tena. Je! Wamwona mtu mwenye hekima machoni pake mwenyewe? Afadhali kumtumaini mpumbavu kuliko yeye.
Jitahidi ukifanya usifanye ukiwa na usingiziMbona mm naishi kulala nikianza zoezi nakosea wap
kwannNikisema unaota mkuu namaanisha hakuna kitu kama hicho astral projection
Rakims
Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
Mkuu naomba nitajie iyo beats nitumie kutoka njee ya mwiliHabari mkuu,
Jinn possession haitokei kwa sababu ya mtu kutoka nje ya mwili hadi mtu unaweza kutoka nje ya mwili maana yake vibration ya mwili wako ulioacha ni ngumu kuhisi hata kama mmbu kakung'ata walioexperience body paralyzed wanajua hilo mkuu. Hakuna kitu kinaweza kuingia kwenye mwili wako kutoka ulimwengu wa kiroho ukiwa nje ya mwili haina tofauti na kulala kisha ukaota ndoto
Mbili inategemea na beats aliyotumia mkuu zingine hazina viwango hivyo hupelekea maumivu ya kichwa
Rakims
Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
Beats ndy nini mkuuHata Mimi nilikua kama wewe, lakini Sasa hivi namshukuru Mungu, tumia beats itakusaidia usilale