Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 6,816
- 8,666
ebu naomba mode ya namna unavyo meditate maaan mm naishiaga kupaa paa tundio mana tunaambiwa tulinde silver chird zetu kwa gharama yoyote, japo chances za wao kuingia ni ndogo sana ila wanaweza ukiwaruhusu...by the way ni nice experience...nimeshafika hadi egypy kwenye pyramids..kifupi unaweza fika mahali popote pale, nimefika sehemu nyingi sana, ila siku moja nitakuja kuweka thread yaliyonikuta nilienda sehem ambayo sikutakiwa niende as a soul ..hii dunia ina mambo mengi sana..
HAIL LUCIFER !!!
eUmenipa attention nyingine ya kuogapa zaidi. Hebu lete mkuu na sisi tujifunze, Nimepania kuifanya lakini nataka nije niifanye nimeshajua tahadhari zake
Lakini siku zote muoga akijua anakuwa mwalimu kuliko mwalimuwee unaonekana muoga sana kuwa makin usije ukawa chiz
e
utaweza fanya OBE baada ya jicho la 3 kufu gukaWakuu Mimi nataka nijaribu hii kitu kwa kutumia benaural beats, naombeni ushauri nikakuwa sahihi au hiyo beat itaushtua mwili nikishatoka?
Kwahiyo nisitumie beat?utaweza fanya OBE baada ya jicho la 3 kufu guka
Nyinyi ndio majini sasandio mana tunaambiwa tulinde silver chird zetu kwa gharama yoyote, japo chances za wao kuingia ni ndogo sana ila wanaweza ukiwaruhusu...by the way ni nice experience...nimeshafika hadi egypy kwenye pyramids..kifupi unaweza fika mahali popote pale, nimefika sehemu nyingi sana, ila siku moja nitakuja kuweka thread yaliyonikuta nilienda sehem ambayo sikutakiwa niende as a soul ..hii dunia ina mambo mengi sana..
HAIL LUCIFER !!!
Hii kitaalamu wanaita "deja vu" wanasema inatokana na "chaos theory"naomba uelewa wa hili mi huwa inatokea nakua mahali na watu tunafanya shughuli alafu inatokea kama ilishawah kuwa hv yan kama marudio ila haukumbuki ni lini ilitokea kama unavyoona hapo
tumia beats kwa ajiri la jicho la tatu kwanza obe ni stage kubwa sanaKwahiyo nisitumie beat?
Sawa, mkuu naomba unisaidie hapa-, Mimi huwa nikilala chali ndio nakuwa comfortable Sana kwa kumeditate, Sasa ninachoogopa nitawezaje kutofautisha kuwa hii inayotaka kunitokea ni Open The Third Eye niifate na hii ni Astra Projection niikwepe wakati nimelala chali?, yaani nilishajaribu kwa kutumia beats nikaanza ku_vibrate nikajiona naanza kuelea elea hivi kwenda juu Nikajikurupua nilijuwa kuwa nilitaka kuingia kwenye Astra na wakati Mimi lengo langu ni Third Eye kwanza na sio Astral.tumia beats kwa ajiri la jicho la tatu kwanza obe ni stage kubwa sana
Hizo beats nazipataje na kama zinauzwa zinauzwaje?tumia beats kwa ajiri la jicho la tatu kwanza obe ni stage kubwa sana
Hivi hii elimu yako inaweza ikawa na majibu ya kwanini mbwa huwa wanabweka "wuuuuuuuuuuuu" wakati wa usiku?Ahsante Kwa Kuchangia Mkuu Jibu Langu Litoe Hapa Kwenye Haya Maswali!!
1: je, kipindi hicho ulikuwa unajua kusoma?
2: kipindi hicho ulikuwa unawaza upate wapi mwanamke?
3: kipindi hicho ulikuwa unamaskitiko moyoni ya kukosa pesa?
mengi na zaidi ya hayo hukuwa nayo kipindi hicho msongo wa mawazo....
mawazo ndio hupelekea kudumaza subconscious mind na kushindwa kukupa utambuzi Sahihi fanya zoezi hili mkuu hali hiyo itarudi na kwa haraka maana una experience nayo...
umesema unacheza na mbwa sie wengine huwa tunawatisha paka na kuwakimbiza just kama mchezo vile....
"Rakims"
endelea ivo ivo. na watu tupo tofauti we fanya meditaion tu watu hua wanakutana na hali tofauti tofauti kama kupaa ni kaaaidaSawa, mkuu naomba unisaidie hapa-, Mimi huwa nikilala chali ndio nakuwa comfortable Sana kwa kumeditate, Sasa ninachoogopa nitawezaje kutofautisha kuwa hii inayotaka kunitokea ni Open The Third Eye niifate na hii ni Astra Projection niikwepe wakati nimelala chali?, yaani nilishajaribu kwa kutumia beats nikaanza ku_vibrate nikajiona naanza kuelea elea hivi kwenda juu Nikajikurupua nilijuwa kuwa nilitaka kuingia kwenye Astra na wakati Mimi lengo langu ni Third Eye kwanza na sio Astral.
Nitumie mbinu ipi mkuu Waterbender ili niweze ku open third eye nikiwa nimelala chali kwa kutumia beats? Maana nikikaa nakuwa sipo comfortable
Nisaidieni jamani
youtube zimejaaHizo beats nazipataje na kama zinauzwa zinauzwaje?
Hivi hii elimu yako inaweza ikawa na majibu ya kwanini mbwa huwa wanabweka "wuuuuuuuuuuuu" wakati wa usiku?
[/QUOT
wanyama wengi wanauwezo mkubwa wa kiona na kusense spirits majin na wanga.sasa moja ya faida ya jicho la tatu iyoHivi hii elimu yako inaweza ikawa na majibu ya kwanini mbwa huwa wanabweka "wuuuuuuuuuuuu" wakati wa usiku?
Sawa mkuu. Je, nikipaa kwa njia hiyo ya third eye nitarudishwa automatic au mpaka nijirudishe mwenyewe kwenye mwili wangu? Na inachukua muda gani kurudi? nisije nikagongewa mlangoendelea ivo ivo. na watu tupo tofauti we fanya meditaion tu watu hua wanakutana na hali tofauti tofauti kama kupaa ni kaaaida
Yah, most probably, au Rakims unasemaje?wanyama wengi wanauwezo mkubwa wa kiona na kusense spirits majin na wanga.sasa moja ya faida ya jicho la tatu iyo
ahahah sasa ww unaleta utanSawa mkuu. Je, nikipaa kwa njia hiyo ya third eye nitarudishwa automatic au mpaka nijirudishe mwenyewe kwenye mwili wangu? Na inachukua muda gani kurudi? nisije nikagongewa mlango
Asante Mkuuahahah sasa ww unaleta utan
hamna kitu kinaitwa kupaa kwa njia ya third eye
pili sio rahis kama unavo fikiria
ingia mtandaoni soma chakras zote 7 au kundalin awakening kitu cha kunote OBE nimatokeo ya third eye pia kuna michezo kama lucid dreams auras. sasa ww cha kifanya fanya meditaion kawaida kaa kimya ukiwa umetulia tuli kadri uwezavyo mfano first week fumba macho endelea kifikiria mawazo yako na mpango yako ya maisha kichwan najua utalala tu
wiki inayo fuata stop iyo monkey mind usikirie chochote tulia vuta punzi timam
anza kumanipulate energy focus on you thirt eye region but not focus too critical just like be aware of it relax dont use any physical trick the more you relax the more energy flow sasa apa unaweza tumia beats kuna ile 432 HZ ipo youtube itaona mwenye mambo yana jipa feel the spece within your self by trying to separate body and soul
kwnye huu uzi ana blog inaitwa rakims spiritual kasome
Habari mkuu,Habari Mkuu Rakims naomba kuuliza maswali mawili nimeyasikia yananiletea utata kidogo.
1.) Je, Ni kweli mtu akitoka Nje ya mwili inaweza ikatokea bahati mbaya pepo au roho nyingine inaweza ikaingia kwenye mwili wake aliouacha kiasi kwamba ikamletea ugumu yeye kurudi ndani ya mwili wake?
2.) Je, Mtu akitoka Nje ya mwili kwa msaada wa binaural beats, Ile beat itaendelea kutoa sauti kwa mwili uliobaki haiwezi kuushtua mwili wake na kusababisha mwili kushtuka Hari yakua roho haipo maana tunasikia kuwa mwili ukishtuliwa ni hatari.
Msaada wako Mkuu