Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

Mkuu Rakims na MziziMkavu, naombeni sana wakati mnatoa hili somo, pia muwape angalizo hao wanafunzi wenu, kuwa mchezo huu pia ni sawa na kuijaribu sumu kwa kuilamba!. Wapeni kabisa masharti ya kuzingatia, wakikosea ndio safari jumla!, asubuhi unakutwa ulitangulia ukiwa usingizini!.

Masharti ni haya.
  1. Fanya hivyo ukiwa umelala peke yako chumbani, na kabla hujaanza ujinga huo, hakikisha umefunga mlango kwa funguo, kwa sababu akitokea mtu akakuamsha kwa kukutingisha kwa nguvu na kuchange ile position yako hata ya milimita moja, ile cord ni kama utando wa buibui, inakatika, wewe unakuwa ndio basi tena!.
  2. Unaweza kukutana na "the under world" ukaona maisha hayo ya astra plane ndio bora zaidi kuliko real world, hivyo cord ikakatika, huku unakutwa ndio basi tena!, wewe ni safari jumla!.
  3. Hizi ni highest stages za meditation ambazo haziruhusiwi kufanywa na beginners, na hazifanywi un supervised vinginevyo ni safari jumla!.
  4. Yote utakayoyashuhudia kwenye astra body, unaweza kuyafanya by simply opening up the "third eye!"
  5. Hizi ndizo the first stages za wachawi!.
Wito wangu mimi wa wafuatiliaji wa haya makitu, kama hujui unataka nini, au utoke out of body ili kuachieve nini, please don't do it!. Mtu asikudanganye kuwa its very fun to go out of body, is not fun!. Too much knowledge on anything is harmful, please don't try unless you are sure what you are trying to do!.

Paskali
Hiyo safari jumla ndo naitamani sasa
 
Pasco Ni kweli unayoyasema ndio maana kuna mambo mengine hayafai watu kufundishwa akikosea ndio anakufa moja kwa moja mimi huwa sipendi kujaribu kitu kwa njia ya Riski.

Mimi huwa inatokea sio kila siku kusafiri wakati nipo ndani ya usingizi nikikusudia huwa ndio ninasafiri na sio kwa nia mbaya bali kutembea na kujionea mwenyewe ulimwengu jinsi ulivyo ingawa ukizoea utaona raha lakini sio nzuri kusafiri ndani ya ndoto unaweza unakokwenda usirudi tena ulipo toka. nimekuelewa Mkuu Pasco.
Kama kwenye ndoto kuna maisha mazuri,si bora niende mazima.. niachane na hizi stress za ulimwengu na walimwengu
 
Kama kwenye ndoto kuna maisha mazuri,si bora niende mazima.. niachane na hizi stress za ulimwengu na walimwengu
Kwenda mazima huko ni amri ya mwenyezi Mungu, hakuna kwenda mazima mkuu,
Watu wanaquote kulingana na walivyosoma na sio walivyoexperience

Rakims
 
Kwenda mazima huko ni amri ya mwenyezi Mungu, hakuna kwenda mazima mkuu,
Watu wanaquote kulingana na walivyosoma na sio walivyoexperience

Rakims
Habari mkuu Rakims.
Mimi kulingana na nilivyosoma thread zako kadhaa ninakiu Sana ya kuiponya familia yangu kwa nguvu ya miujiza kutokana matatizo na changamoto tunayopitia, matatizo kwenye familia hayaishi magonjwa ya ya nguvu za giza na changamoto nyingine nyingi tu. Kutokana na kupitia nyuzi kadhaa kwenye mitandao nimesoma habari ya KUNDALINI & THIRD EYE, na ASTRAL PROJECTION
Kati ya Astra projection na kuamsha nguvu ya kundalini ni ipi niifate kuifanyia mazoezi ambayo itaniletea matokeo chanya ambayo ndio zaidi kuliko nyingine katika nguvu ya uponyaji na kupambana na nguvu za kichawi kwa mtu aliyerogwa?
 
Habari mkuu Rakims.
Mimi kulingana na nilivyosoma thread zako kadhaa ninakiu Sana ya kuiponya familia yangu kwa nguvu ya miujiza kutokana matatizo na changamoto tunayopitia, matatizo kwenye familia hayaishi magonjwa ya ya nguvu za giza na changamoto nyingine nyingi tu. Kutokana na kupitia nyuzi kadhaa kwenye mitandao nimesoma habari ya KUNDALINI & THIRD EYE, na ASTRAL PROJECTION
Kati ya Astra projection na kuamsha nguvu ya kundalini ni ipi niifate kuifanyia mazoezi ambayo itaniletea matokeo chanya ambayo ndio zaidi kuliko nyingine katika nguvu ya uponyaji na kupambana na nguvu za kichawi kwa mtu aliyerogwa?
Meditation is the best mkuu maana unacombine vyote hivyo na vinakuwa highest level za meditation ukifanya sana meditation unapokuwa enlighten basi kila unachofanya kinakuwa useful na kinakwenda unavyotaka

Rakims
 
Nimefanikiwa kuingia ndan ya lucid dreams.lakin mikono yangu kuna sehemu nikijaribu kwenda naona imefungwa na nikitaka kuingia iyo sehemu nakua siwez.ni sehem ya bibi mmoja mchawi hivi.nataka nikapambane nae.hii mara ya tatu kila nikitaka kumfanyia timbwil inashindikana
 
Nimefanikiwa kuingia ndan ya lucid dreams.lakin mikono yangu kuna sehemu nikijaribu kwenda naona imefungwa na nikitaka kuingia iyo sehemu nakua siwez.ni sehem ya bibi mmoja mchawi hivi.nataka nikapambane nae.hii mara ya tatu kila nikitaka kumfanyia timbwil inashindikana
hahahaa safi sana ila kuwa makini, kwa maelezo yako unaonekana bado mwanafunzi kuwa makini usije pata shida
 
hahahaa safi sana ila kuwa makini, kwa maelezo yako unaonekana bado mwanafunzi kuwa makini usije pata shida
Ila kuna kitu nakiogopa.nisije nikabakia huko huko.ndio maana nikiingia katika hali hyo huwa nakaa kidogo afu najaribu kujirudisha katika hali ya kawaida maana nahofia isije ikawa sirud dunian mazima.
 
Dah leo ilikuwa bado kidogo nitoke nje ya mwili tatizo kila nikitaka kutoka inashindikana tatizo nilikuwa nalijua kabisa ni jinsi nilivyo lala, nililala kifudifudi ss nikawa najitahidi nigeuka nilale chali nashindwa lkn pia nilikuwa naogopa ncje nikajistua kwahyo nikawa najigeuza taratibu ili nisistuke cz nilikuwa najua hyo ni astral projection mwili tayari ulikuwa na ganzi na kuna mlio flani hv nlikuwa nausikia kichwani but nkitaka kutoka kwenye mwili wangu nashindwa daahh nlikuwa nakasirika sn huenda ni shauku nliyokuwa nayo, huu uzi umenistua sn mana zamani nlikuwa siipendi na naiogopa sn hii hali ilikuwa ikitaka kunitokea tu najistua but kuna siku nilijikausha nikataka kupaa kidogo nikaogopa lkn now naitafuta hiyo hali mpk kieleweke ili niwajue wanga wangu
 
Nimefanikiwa kuingia ndan ya lucid dreams.lakin mikono yangu kuna sehemu nikijaribu kwenda naona imefungwa na nikitaka kuingia iyo sehemu nakua siwez.ni sehem ya bibi mmoja mchawi hivi.nataka nikapambane nae.hii mara ya tatu kila nikitaka kumfanyia timbwil inashindikana
Kazana mkuu kumbuka kuna lucid dream na AP ni vitu vinafanana kwa mbali sana sasa usije kugeuzwa jinsia na kibibi

Rakims
 
Ila kuna kitu nakiogopa.nisije nikabakia huko huko.ndio maana nikiingia katika hali hyo huwa nakaa kidogo afu najaribu kujirudisha katika hali ya kawaida maana nahofia isije ikawa sirud dunian mazima.
Lisaa moja la huko ni sawa na siku nzima au mbili no matter what you do itafikia tu sehemu utataka kurudi na ukirudi unakuta ni kitendo cha lisaa au masaa mawili ndio maana wenye kufanya zoezi hili kuna sifa za kuwa bright sana

Rakims
 
Lisaa moja la huko ni sawa na siku nzima au mbili no matter what you do itafikia tu sehemu utataka kurudi na ukirudi unakuta ni kitendo cha lisaa au masaa mawili ndio maana wenye kufanya zoezi hili kuna sifa za kuwa bright sana

Rakims
Mkuu Rakims kwenye Meditation inachukua muda mwingi/ siku nyingi hadi mtu kufungua third eye na power, Je na kwenye Astral projection ni hivyo hivyo au mtu akifanikiwa kutoka nje ya mwili kwa siku moja tu tayari atakuwa amesha fungua uwezo wake na nguvu zake za majaaliwa? Au akifanikiwa kutoka leo nje ya mwili wake itakuwa bado haja fungua mpaka aendelee kwa kipindi kirefu?
 
Mkuu Rakims kwenye Meditation inachukua muda mwingi/ siku nyingi hadi mtu kufungua third eye na power, Je na kwenye Astral projection ni hivyo hivyo au mtu akifanikiwa kutoka nje ya mwili kwa siku moja tu tayari atakuwa amesha fungua uwezo wake na nguvu zake za majaaliwa? Au akifanikiwa kutoka leo nje ya mwili wake itakuwa bado haja fungua mpaka aendelee kwa kipindi kirefu?
Habari mkuu, elewa au kumbuka kuwa na kutoka nje ya mwili pia ni moja kati ya nguvu za majaliwa isipokuwa hii ni rahisi na yoyote anaweza kufanya.

Rakims
 
Habari mkuu, elewa au kumbuka kuwa na kutoka nje ya mwili pia ni moja kati ya nguvu za majaliwa isipokuwa hii ni rahisi na yoyote anaweza kufanya.

Rakims
Habari Mkuu Rakims naomba kuuliza maswali mawili nimeyasikia yananiletea utata kidogo.
1.) Je, Ni kweli mtu akitoka Nje ya mwili inaweza ikatokea bahati mbaya pepo au roho nyingine inaweza ikaingia kwenye mwili wake aliouacha kiasi kwamba ikamletea ugumu yeye kurudi ndani ya mwili wake?

2.) Je, Mtu akitoka Nje ya mwili kwa msaada wa binaural beats, Ile beat itaendelea kutoa sauti kwa mwili uliobaki haiwezi kuushtua mwili wake na kusababisha mwili kushtuka Hari yakua roho haipo maana tunasikia kuwa mwili ukishtuliwa ni hatari.

Msaada wako Mkuu
 
hiyo ya kufa kufa hovyo ni ya wengine hii hamna aliewahi kuamka hata anaumwa.....

hiyo ya kufa ya imani imani na uchawi umetoka ukamuue mwenzio kichawi kakuzidi upo uchi sijui matunguli haiusiani hapa kama unaogopa wataleta wenzio feedbak utaziona no need to worry...
MWANAKA
Nilikuwa sijaipitia hii. Dah!!
 
Mkuu Rakims na MziziMkavu, naombeni sana wakati mnatoa hili somo, pia muwape angalizo hao wanafunzi wenu, kuwa mchezo huu pia ni sawa na kuijaribu sumu kwa kuilamba!. Wapeni kabisa masharti ya kuzingatia, wakikosea ndio safari jumla!, asubuhi unakutwa ulitangulia ukiwa usingizini!.

Masharti ni haya.
  1. Fanya hivyo ukiwa umelala peke yako chumbani, na kabla hujaanza ujinga huo, hakikisha umefunga mlango kwa funguo, kwa sababu akitokea mtu akakuamsha kwa kukutingisha kwa nguvu na kuchange ile position yako hata ya milimita moja, ile cord ni kama utando wa buibui, inakatika, wewe unakuwa ndio basi tena!.
  2. Unaweza kukutana na "the under world" ukaona maisha hayo ya astra plane ndio bora zaidi kuliko real world, hivyo cord ikakatika, huku unakutwa ndio basi tena!, wewe ni safari jumla!.
  3. Hizi ni highest stages za meditation ambazo haziruhusiwi kufanywa na beginners, na hazifanywi un supervised vinginevyo ni safari jumla!.
  4. Yote utakayoyashuhudia kwenye astra body, unaweza kuyafanya by simply opening up the "third eye!"
  5. Hizi ndizo the first stages za wachawi!.
Wito wangu mimi wa wafuatiliaji wa haya makitu, kama hujui unataka nini, au utoke out of body ili kuachieve nini, please don't do it!. Mtu asikudanganye kuwa its very fun to go out of body, is not fun!. Too much knowledge on anything is harmful, please don't try unless you are sure what you are trying to do!.

Paskali
Hivi vitu mimi bado siamin kama ni real, afu braza umeandika kama una uzoefu hiv, ulishawahi kufanya tujuzane.
 
Back
Top Bottom