Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 6,696
- 8,498
ebu naomba mode ya namna unavyo meditate maaan mm naishiaga kupaa paa tundio mana tunaambiwa tulinde silver chird zetu kwa gharama yoyote, japo chances za wao kuingia ni ndogo sana ila wanaweza ukiwaruhusu...by the way ni nice experience...nimeshafika hadi egypy kwenye pyramids..kifupi unaweza fika mahali popote pale, nimefika sehemu nyingi sana, ila siku moja nitakuja kuweka thread yaliyonikuta nilienda sehem ambayo sikutakiwa niende as a soul ..hii dunia ina mambo mengi sana..
HAIL LUCIFER !!!