NullPointer
JF-Expert Member
- Feb 7, 2011
- 3,461
- 2,275
Mkuu pengine nia ya mtoa mada ni nzuri. Huwezi jua labda kuna majambazi yanataka kumtapeli wife wake akaona atafute namna ya kutrack kwa usalama wao.
Kama wapo angeweza kuongea na mke wake tu akaomba namba akawashughulikia mwenyewe, hakuna kitu hata kimoja kinacho-justify kumspy mke wako. Yeye kama anataka uwazi wakubaliane ku-share kila kitu na mke wake, zipo apps wanaweza ku-sync, kila kinachoingia kwa mmoja kiingie kwa wote, ila kumuwekea kisirisiri ni offense.