Jinsi ya kushiriki international telent show

Jinsi ya kushiriki international telent show

I knew it.

Najua na nina uhakika wewe hujawahi kujiingiza wala kujihusisha na talent show yoyote.

Sasa kama wewe hujawahi kujiingiza wala kujihusisha na talent show yoyote then huna mamlaka ya kusema kitu fulani ni kigumu wakati huna experience wala hujui nini kipo ndani ya hicho kitu.

It's like unasema ndani ya box kuna nyoka wakati hujawahi kulifungua wala kuliona hilo box.

Watu wajinga na wenye akili ndogo siku zote wanakuwa na inferiority complex bila wao kujua hivyo bongo zao hukimbilia kujidefend ili kupingana na reality.

That's why umekimbilia matusi ili kuweka self defense and that's prove hujawahi kujihusisha na talent show yoyote hivyo hiyo inaprove hujui unachokiongea hivyo acha kukatisha watu tamaa.
And i know utaendelea kuniattack ili ujifeel safe and right but in reality you know who you're....

Mleta mada just go and do it mambo mengine hutakiwi kuomba ushauri just make your own ways.
😂😂😂😂. Akafanye umempatia sasa strategy yeyote. Mshamba mkubwa ww. Si umwambie basi namna ya kuingia hizo talent shows. Mimi nimemwambia challenges, ni juu yake kuzichambua na kuona namna ya kuzitatua. Ww unasema tu kafanye kitu hata haukijui. Unaongea kana kwamba unajua kitu you have zero knowledge. Eti inferiority complex. Usinifurahishe. Watu kama ww mnaweka malengo LAKINI HAMYAFANYII KAZI. Mnapenda kuota ndoto tu za mchana. Pole sana.
 
I knew it.

Najua na nina uhakika wewe hujawahi kujiingiza wala kujihusisha na talent show yoyote.

Sasa kama wewe hujawahi kujiingiza wala kujihusisha na talent show yoyote then huna mamlaka ya kusema kitu fulani ni kigumu wakati huna experience wala hujui nini kipo ndani ya hicho kitu.

It's like unasema ndani ya box kuna nyoka wakati hujawahi kulifungua wala kuliona hilo box.

Watu wajinga na wenye akili ndogo siku zote wanakuwa na inferiority complex bila wao kujua hivyo bongo zao hukimbilia kujidefend ili kupingana na reality.

That's why umekimbilia matusi ili kuweka self defense and that's prove hujawahi kujihusisha na talent show yoyote hivyo hiyo inaprove hujui unachokiongea hivyo acha kukatisha watu tamaa.
And i know utaendelea kuniattack ili ujifeel safe and right but in reality you know who you're....

Mleta mada just go and do it mambo mengine hutakiwi kuomba ushauri just make your own ways.
Eti just go and do it. Sijui una umri gani, lakini najua hata haujafikisha miaka 25 ww. Unaongea kama mtoto. Na baadaye ndio utagundua unavyoongea ni UJINGA MTUPU. Hizo ndoto zako ulizo nazo HAKUNA HATA MOJA ITATIMIA. SIO LAANA.. Ila kwa mentality yako hiyo, hautatimiza hata moja. Kama na ww unapenda muziki, WALA HAUTAFAHAMIKA HATA TU MKOANI MWAKO. Utapoteza muda tu ukifikiria utakuwa Star. 😂😂😂. Pole sana. Kajifunze kulima au biashara itakusaidia.
 
Boss acha kumkatisha mtu tamaa aisee..tunaona waindi..wazambia, na last year Kama sikosei Kuna mtanzania alishiriki mmoja wapo ya hizo got talent na akafika hatua kubwa tu...

Nachikiona kwako ni ujuaji mwingi usio na tija..mtu anakuukiza swali A wewe unamjibu historia ya maisha yAko..

Hizo Got talent ziko open kwa Kila mtu mwenye kipaji kutoka duniani..ukitaka ushahidi ingia kwenye channel zao ya youtube huko utaona watu wa race tofauti wakiwanashiriki..
😂😂😂. Acha uongo. Website ya AGT inasema hivi..
"To audition on stage for the judges, all performers must be either a United States citizen, legal permanent resident of the United States, possess a current employment authorization card (EAD card) or be in the United States legally at the time of their audition."
www.americasgottalentauditions.com › ...
Open Call FAQ – Official America's Got Talent Audition Site 2019-2020

Kwa hio sio kila mtu. Lazima uwe raia wa Marekani, au uwe na green card, au uwe na kibali cha kufanya kazi USA. Vyote hivyo vitatu, lazima uje USA uishi kwa muda mrefu ndio uvipate.

Watu mnaongea tu kana kwamba mnajua kitu. Mimi simkatishi mtu tamaa. Nasema reality. Ninyi mnaota tu ndoto za mchana pasipo kuwa real 😂😂😂😂😂

 
Na kingine hakuna anayekupotezea muda mzee..umefungua uzi mwenywe..ukasoma mwenyewe. Na umekoment mwenyewe kwa utashi wako..so ukiona unapoteza muda kimbiaa...ukajambie mbali huko.
Huwa JF kuna posts nyingi. Mimi nachagua tu ambazo nina ujuzi nao kuchangia mada. Kwa hio nimefungua uzi kumpa ushauri. Ila ww Akili Tatu na Teenager mna JAZBA kweli, wakati ni sifuri kabisa. Mnafurahisha mnooo. 😂😂😂😂😂
 
Boss acha kumkatisha mtu tamaa aisee..tunaona waindi..wazambia, na last year Kama sikosei Kuna mtanzania alishiriki mmoja wapo ya hizo got talent na akafika hatua kubwa tu...

Nachikiona kwako ni ujuaji mwingi usio na tija..mtu anakuukiza swali A wewe unamjibu historia ya maisha yAko..

Hizo Got talent ziko open kwa Kila mtu mwenye kipaji kutoka duniani..ukitaka ushahidi ingia kwenye channel zao ya youtube huko utaona watu wa race tofauti wakiwanashiriki..
Sikusema hawezi. Nilisema lazima awe USA kwanza. Nilimueleza uhalisia wa kitu. Hao wazambia na watz kwani unafikiria hawapo wanaoishi USA au UK? Ww unadhania ni mtu alikuwa anaishi zambia ndio akafanya application akiwa zambia? 😂😂😂
 
😂😂😂😂. Akafanye umempatia sasa strategy yeyote. Mshamba mkubwa ww. Si umwambie basi namna ya kuingia hizo talent shows. Mimi nimemwambia challenges, ni juu yake kuzichambua na kuona namna ya kuzitatua. Ww unasema tu kafanye kitu hata haukijui. Unaongea kana kwamba unajua kitu you have zero knowledge. Eti inferiority complex. Usinifurahishe. Watu kama ww mnaweka malengo LAKINI HAMYAFANYII KAZI. Mnapenda kuota ndoto tu za mchana. Pole sana.
Umetumia emoji means umeanza kuwa emotional hivyo inamaanisha kila unachoandika kinatokana na msukumo wa emotions.
Second ni kwamba umetumia laughing emoji ili kucover nini kinaendelea ndani ya kichwa chako right now but still naona nini kipo ndani kichwa chako right now the truth is you're frustrated and disappointed.
And that's why you're full of negative.

Like unakumbuka nilivyokuuliza swali kama mara ya kwanza badala ya kujibu swali instead ukaanza kujielezea maisha yako binafsi.

That's why umeandika hivi
Watu kama ww mnaweka malengo LAKINI HAMYAFANYII KAZI. Mnapenda kuota ndoto tu za mchana. Pole sana.
So this is how you're brain works.
Right now umeanza tena kureflect maisha yako ya ndani kabisa na binafsi.
Na kudhani kila mtu yupo kama wewe that's why umeanza kujireflect wewe kwangu mimi but the truth is I'm not you.

Hizo ndoto zako ulizo nazo HAKUNA HATA MOJA ITATIMIA. SIO LAANA.. Ila kwa mentality yako hiyo, hautatimiza hata moja. Kama na ww unapenda muziki, WALA HAUTAFAHAMIKA HATA TU MKOANI MWAKO. Utapoteza muda tu ukifikiria utakuwa Star. 😂😂😂. Pole sana. Kajifunze kulima au biashara itakusaidia.
Hii ni second time unaendelea kujireflect mwenyewe kwangu mimi.
Na mimi sina ndoto za kuwa star wala kuwa na ndoto za kuwa mwanamziki kama ndoto ulizonazo wewe.
Na mimi huwa siweki ndoto wala sina ndoto.

Mkuu narudia tena I'm not you so acha kujiexpose maisha yako mwenyewe.
Pole sana. Kajifunze kulima au biashara itakusaidia.
Hicho ndicho ulichofanya baada ya ndoto zako kushindikana.

I can prove it.
Japo kwa sasa ninajihusisha na entrepreneurship zaidi sababu ya changamoto fulani za bureacracy nilizokumbana nazo kwenye media and entertainment

Like i said before lazima utaendelea kujidefend sababu hiyo ni kawaida kwa watu wajinga na wenye akili changa.

That's why umeniquote mara mbili na kutumia maneno mengi makali kwa kusisitiza na kutumia laughing emoji kucover na kujidefend but you know the truth about yourself.

Narudia tena wewe hujui chochote kuhusu talent shows so usimkatishe mleta mada tamaa ashindwe kama ulivyoshindwa wewe.
 
Lakini sio nyimbo zote.
hivi tuchukulie mtu aimbe mapenzi kwa kiingereza lakini melody ni ya wimbo wa taifa...Mswahili asiyejuua kiingereza atakuwa sahihi kusema huo ni wimbo wa Taifa kwa Lugha ya kigeni?
 
Umetumia emoji means umeanza kuwa emotional hivyo inamaanisha kila unachoandika kinatokana na msukumo wa emotions.
Second ni kwamba umetumia laughing emoji ili kucover nini kinaendelea ndani ya kichwa chako right now but still naona nini kipo ndani kichwa chako right now the truth is you're frustrated and disappointed.
And that's why you're full of negative.

Like unakumbuka nilivyokuuliza swali kama mara ya kwanza badala ya kujibu swali instead ukaanza kujielezea maisha yako binafsi.

That's why umeandika hivi

So this is how you're brain works.
Right now umeanza tena kureflect maisha yako ya ndani kabisa na binafsi.
Na kudhani kila mtu yupo kama wewe that's why umeanza kujireflect wewe kwangu mimi but the truth is I'm not you.


Hii ni second time unaendelea kujireflect mwenyewe kwangu mimi.
Na mimi sina ndoto za kuwa star wala kuwa na ndoto za kuwa mwanamziki kama ndoto ulizonazo wewe.
Na mimi huwa siweki ndoto wala sina ndoto.

Mkuu narudia tena I'm not you so acha kujiexpose maisha yako mwenyewe.

Hicho ndicho ulichofanya baada ya ndoto zako kushindikana.

I can prove it.


Like i said before lazima utaendelea kujidefend sababu hiyo ni kawaida kwa watu wajinga na wenye akili changa.

That's why umeniquote mara mbili na kutumia maneno mengi makali kwa kusisitiza na kutumia laughing emoji kucover na kujidefend but you know the truth about yourself.

Narudia tena wewe hujui chochote kuhusu talent shows so usimkatishe mleta mada tamaa ashindwe kama ulivyoshindwa wewe.
😂😂😂😂😂😂. So stupid. Sina muda wa kujibizana na ww. I have better things to do with my time.
 
Like who cares.
You care. Hayo magazeti yenye pumba unayoandika 😂😂😂😂😂.
It surprises me mtu anatumia muda mwingi na mrefu to write a nonsensical, stupid, and pointless post.
 
You care. Hayo magazeti yenye pumba unayoandika 😂😂😂😂😂.
It surprises me mtu anatumia muda mwingi na mrefu to write a nonsensical, stupid, and pointless post.
Again who cares?

Definitely you that's why you can't stop quoting me.

I won't stop becauseI don't care.
You're the one who should care as you said before that I'm wasting you time.

But here we are.
You won't stop would you?
 
Back
Top Bottom