Nevergive up
JF-Expert Member
- Dec 24, 2024
- 372
- 574
Wewe ambaye umeajiriwa au unajitolea au unafanya kazi yoyote na unajitafutia na wewe riziki
Naomba ushauri hivi unafanyaje kushinda uonevu au chuki eneo la kazi?
Pindi Fulani mtu anakuchukia au kukuonea hata hujui ulimkosea nini
Naomba ushauri hivi unafanyaje kushinda uonevu au chuki eneo la kazi?
Pindi Fulani mtu anakuchukia au kukuonea hata hujui ulimkosea nini