Jinsi ya kupika uji wa ngano

marveljt

JF-Expert Member
Jan 11, 2017
1,503
1,479
Mahitaji ya uji kwa watu 2-4
1. ngano ambayo haijakobolewa kikombe kimoja kikubwa cha chai(mug)

2. Maji vikombe viwili vikubwa vya chai

3. Maziwa ya chai kikombe kimoja kikubwa cha chai

4. Sukari vijiko vitatu vya chakula.




Maandalizi
1. Chambua ngano zako kisha uzisahe kwa kupitia blender. Saga hadi upate unga ingawaje kutabakia na vipande vidogo vidogo vya ngano.

2. Weka sufuria jikoni pamoja na kiasi cha maji yaliyotajwa hapo juu na uache kwa dakika moja.

3. Weka unga wako na anza kukoroga hadi ulainike.

4. Uji ukishaanza kutokota weka maziwa yako pamoja na sukari ili viendelee kuiva pamoja.

5 . epua uji wako baada ya dakika 10-15 na uko tayari kwa kunywewa.


N.b
1.unaweza kuweka siagi au jibini.
2. Unaweza kutumia maziwa katika upishi wako bila kutumia maji.
3. Kiasi cha unga unaweza kuongezeka kulingana na idadi ya familia.
4. Unaweza kukaanga kidogo ngano kabla hujazisaga.
 
Mahitaji ya uji kwa watu 2-4
1. ngano ambayo haijakobolewa kikombe kimoja kikubwa cha chai(mug)

2. Maji vikombe viwili vikubwa vya chai

3. Maziwa ya chai kikombe kimoja kikubwa cha chai

4. Sukari vijiko vitatu vya chakula.




Maandalizi
1. Chambua ngano zako kisha uzisahe kwa kupitia blender. Saga hadi upate unga ingawaje kutabakia na vipande vidogo vidogo vya ngano.

2. Weka sufuria jikoni pamoja na kiasi cha maji yaliyotajwa hapo juu na uache kwa dakika moja.

3. Weka unga wako na anza kukoroga hadi ulainike.

4. Uji ukishaanza kutokota weka maziwa yako pamoja na sukari ili viendelee kuiva pamoja.

5 . epua uji wako baada ya dakika 10-15 na uko tayari kwa kunywewa.


N.b
1.unaweza kuweka siagi au jibini.
2. Unaweza kutumia maziwa katika upishi wako bila kutumia maji.
3. Kiasi cha unga unaweza kuongezeka kulingana na idadi ya familia.
4. Unaweza kukaanga kidogo ngano kabla hujazisaga.
Uji wa maziwa huu uji wa ngano hauko ivyo tena unatiwa Nazi nenda znzbr ukafundiashwe mapishi
 
Uji wa ngano, ngano haisagwi shekhe, kama vp sema ufundishwe.
Watu tunajua hadi boko boko hapa
 
Uji wa ngano kweli?
Umekosea, kwanza ngano haisagwi, hiliki hujaweka, mdalasini haumo, hayo labda mataputapu
 
Uji wa ngano, ngano haisagwi shekhe, kama vp sema ufundishwe.
Watu tunajua hadi boko boko hapa
Unachokiongelea wewe ni tofauti. Unaposaga ngano jua ya kwamba huwezi kupata kama unga wa chapati au maandazi. Lazima zibaki vipisi vya ngano. Boko boko unalolizungumzia unapika ngano nzimanzima kama wali
 
Mahitaji ya uji kwa watu 2-4
1. ngano ambayo haijakobolewa kikombe kimoja kikubwa cha chai(mug)

2. Maji vikombe viwili vikubwa vya chai

3. Maziwa ya chai kikombe kimoja kikubwa cha chai

4. Sukari vijiko vitatu vya chakula.




Maandalizi
1. Chambua ngano zako kisha uzisahe kwa kupitia blender. Saga hadi upate unga ingawaje kutabakia na vipande vidogo vidogo vya ngano.

2. Weka sufuria jikoni pamoja na kiasi cha maji yaliyotajwa hapo juu na uache kwa dakika moja.

3. Weka unga wako na anza kukoroga hadi ulainike.

4. Uji ukishaanza kutokota weka maziwa yako pamoja na sukari ili viendelee kuiva pamoja.

5 . epua uji wako baada ya dakika 10-15 na uko tayari kwa kunywewa.


N.b
1.unaweza kuweka siagi au jibini.
2. Unaweza kutumia maziwa katika upishi wako bila kutumia maji.
3. Kiasi cha unga unaweza kuongezeka kulingana na idadi ya familia.
4. Unaweza kukaanga kidogo ngano kabla hujazisaga.
Hebu tufundishe na jinsi ya kupika ugali wa ngano aisee maana sembe limepanda bei, ili tupunguze ukali wa maisha
 
Uji wa ngano kweli?
Umekosea, kwanza ngano haisagwi, hiliki hujaweka, mdalasini haumo, hayo labda mataputapu
Waweza kukataa maana umezoea tofauti. Kama ngano haisagwi labda staili yako. Ukiona ni ngumu nenda dukani nunua ngano kwa ajili ya uji.nimekuwekea picha ya jina la kopo la uliotengenezwa kiwandani ambayo utaupata madukani na picha ya unga ambao nimeusaga kwa kupitia ngano yetu kwa blenda
 

Attachments

  • Screenshot_20170309-100232.png
    Screenshot_20170309-100232.png
    396.9 KB · Views: 274
  • IMG_20170309_100124.jpg
    IMG_20170309_100124.jpg
    134.1 KB · Views: 272
Uji wa ngano kweli?
Umekosea, kwanza ngano haisagwi, hiliki hujaweka, mdalasini haumo, hayo labda mataputapu
Pole sana. Kila sehemu kuna namna wanavyopika chakula. Hivyo wewe kuzoea mfumo mmoja usidhani inapply dunia nzima. Ukienda kanda ya ziwa hawajui kuwa kuna ujibwa shanga ila pwani uko
 

Attachments

  • How to Make Your Own Oat Flour.mp4
    5.2 MB · Views: 81
  • How_to_make_delicious_Oat_porridge_480p_MUX.mp4
    18.6 MB · Views: 71
Mahitaji ya uji kwa watu 2-4
1. ngano ambayo haijakobolewa kikombe kimoja kikubwa cha chai(mug)

2. Maji vikombe viwili vikubwa vya chai

3. Maziwa ya chai kikombe kimoja kikubwa cha chai

4. Sukari vijiko vitatu vya chakula.




Maandalizi
1. Chambua ngano zako kisha uzisahe kwa kupitia blender. Saga hadi upate unga ingawaje kutabakia na vipande vidogo vidogo vya ngano.

2. Weka sufuria jikoni pamoja na kiasi cha maji yaliyotajwa hapo juu na uache kwa dakika moja.

3. Weka unga wako na anza kukoroga hadi ulainike.

4. Uji ukishaanza kutokota weka maziwa yako pamoja na sukari ili viendelee kuiva pamoja.

5 . epua uji wako baada ya dakika 10-15 na uko tayari kwa kunywewa.


N.b
1.unaweza kuweka siagi au jibini.
2. Unaweza kutumia maziwa katika upishi wako bila kutumia maji.
3. Kiasi cha unga unaweza kuongezeka kulingana na idadi ya familia.
4. Unaweza kukaanga kidogo ngano kabla hujazisaga.
aiss asante!nilijaribu kuukoroga ukanishinda...maana niliweka jikoni ngano bila kuisaga kwenye brenda!!du ulikuwa na makapi ile mbaya!!!!
 
Mahitaji ya uji kwa watu 2-4
1. ngano ambayo haijakobolewa kikombe kimoja kikubwa cha chai(mug)

2. Maji vikombe viwili vikubwa vya chai

3. Maziwa ya chai kikombe kimoja kikubwa cha chai

4. Sukari vijiko vitatu vya chakula.




Maandalizi
1. Chambua ngano zako kisha uzisahe kwa kupitia blender. Saga hadi upate unga ingawaje kutabakia na vipande vidogo vidogo vya ngano.

2. Weka sufuria jikoni pamoja na kiasi cha maji yaliyotajwa hapo juu na uache kwa dakika moja.

3. Weka unga wako na anza kukoroga hadi ulainike.

4. Uji ukishaanza kutokota weka maziwa yako pamoja na sukari ili viendelee kuiva pamoja.

5 . epua uji wako baada ya dakika 10-15 na uko tayari kwa kunywewa.


N.b
1.unaweza kuweka siagi au jibini.
2. Unaweza kutumia maziwa katika upishi wako bila kutumia maji.
3. Kiasi cha unga unaweza kuongezeka kulingana na idadi ya familia.
4. Unaweza kukaanga kidogo ngano kabla hujazisaga.
hi ngano nasaga bila maji?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom