Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,551
- 45,844
weka mdalasini na asali utaenjoy sanaso soft and sweet
weka mdalasini na asali utaenjoy sanaso soft and sweet
ngano ambayo haijakobolewa unaweka na mdalasini na asali huo uji shoga yangu utajilamba mwakahi ngano nasaga bila maji?
Kila sehemu duniani ina aina yake ya upishi. Unalolijua wewe si ninalolijua mimi and viceversa!Je hayo ni mapishi ya wapi?
unaweza weka vipande vya apple au embe piaAsante kwa kuongezea vikorombwezo
Karibu kesho hom, kutakuwa na uji wa ngano, ngano nzima.Kila sehemu duniani ina aina yake ya upishi. Unalolijua wewe si ninalolijua mimi and viceversa!
Kuna mapishi mbali mbali. Ngano iliosagwa ambayo wengi tunafahamu na aina nyingine unayoifahamu wewe ngano isiyo sagwa, tueleze hiyo unayoijua wewe ili tufaidike wote.
Bila kusahau magadi na mafenesi , bamia NNE na hohoto na sukari guru na makongoro manneunaweza weka vipande vya apple au embe pia
nasaga ngano yangu na food proccesor hizi ! siachi ikawa unga saana inakuwa nzito kiasi mkuuSamahani unatumia ngano iliyosagwa yenyewe au unachanganya na unga? Kwa upande wako. Na kwa unga ulionunua dukani je kuna ngano ambazo ni nzima nzima?
mapishi ni art/sanaa hayana formular mkuu acheni kugombana bureAngalia kwenye video nilizoziweka usitake kufanya unachopika wewe dunia nzima ipike hivyo.
sometimes kabla hujaandika upuuzi jifunze uelewe rafiki jf ni kisima cha maadifa sasa wewe badala ya kutafakari kwanza hata ukagoogle unaropoka kama kolomije pole sanaUji wa ngano kweli?
Umekosea, kwanza ngano haisagwi, hiliki hujaweka, mdalasini haumo, hayo labda mataputapu
asante mkuu kwa mtoto inafaa? asijekuvimbiwa mwanangu anamiezi kumiHuweki maji. Unachukua ngano iliyokauka
ndo uji wangu maana nipo kwenye weight loss plan !Ndivyo hivyo inavyotakiwa sasa watu wanataka wote tupike kama wao. Ila asante kwa kuwa umeahawahi kupika na kujua namna unavyokuwa mtamu
kwanini umpe mtoto ngano kavu bna? uji wa watoto si unajulikana shosti wangu?asante mkuu kwa mtoto inafaa? asijekuvimbiwa mwanangu anamiezi kumi
si nina mpa mambo mapya mwanangu shosti wangu ..kwanini umpe mtoto ngano kavu bna? uji wa watoto si unajulikana shosti wangu?
asante mkuuMchanganyie kwenye lishe itakuwa nzuri zaidi
ngoja nikupe kitu kizuri cha mtoto chemsha karoti zisiize sana blend mpe huo uji kila siku at least vikombe viwili. pia kwenye msosi wake weka bamia nangogwe kiasi . halafu mpe uji wa sembe kwa sana au wa popcorn usimpe ma vitu ya maboxsi .si nina mpa mambo mapya mwanangu shosti wangu ..