jembelamkono
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 2,733
- 2,020
- Thread starter
-
- #141
Uwezo wa kujikimu kama kiasi gani mkuu?Consider going to Finland hakuna ada chuoni ila lazima uonyeshe uwezo wa kujikimu maana kule hawana wakuu wa mikoa design ya Makonda
That is correct...kuna dem flan mnigeria nlikua nae class moja....at the time mi nawaza kumaliza school then nirudi bongo kuendelea ku hustle huku dem akawa ananiambia plan zake kubaki kule, kupiga mzigo and how she wants to break outta poverty....
Dah for the first time in my life i felt very shallow minded and way back from being a life mastermind.....baadae sanaa after kunisoma that im that cool and humble type na si mtu wa kuropoka ropoka mambo ya watu....dem akaniambia mambo mengi sanaa on how they survive there....(It just depends on how far they like u)
Yuko mbele mpaka leo navyokuambia hapa....kajisomesha ma course mengine ya ukweli tu anapiga kazi na wakati huo aliniambia ana plan kujenga nyumba ya biashara huko kwao naija. Yuko mbali sanaa now.
Wako kila kona mkuu hats huku uswahilini bongo wamejazana,wana make mitaji waende kufungua biashara zao South Afrika mkuu.Nimekuwa interested na hao Nigerians.... Natamani nijue kuna kitu gani ndani yao
In short wabongo ni wachoyo, wabinafsi na roho za kwanini sanaa. Mimi nlivyokua huko kuna wabongo nilikua nao nimewasoma sanaa na kuwa judge kwa makini aisee hapana hawafai kabisaaa, kati ya wabongo 10 wawili au watatu ndio wako loyal na kuna baadhi hawataki hata kujulikana ni wabongo kule.
Ndio maana nikaamua kuwa close na nigerians na zimbabweans wako peace sanaa. Mbongo aone unaotea shifts kadhaa unapiga hela au aone unaongeza ma elimu wata hate sanaa (wivu kibao) from within ila wanajitahidi kuificha.
Kuna kipindi nilipungukiwa na hela kidogo nikawa na live under strict budget kama like 2 nd half months hivi ( kuna issue nilikua nafanya hela ikachelewa kurudi)
Huko UK..kula nikawa napiga like twice daily ( Breakfast + jioni napiga menu kama saa 10 hivi ) nakazia na bread ghettoni kabla sijalala ndio ntolee hyo had kesho labda nibahatike kupewa menu job.
Kuna dem flan wakibongo nilikua nae alini treat fresh sana i can NEVER forget her....aaah at tyms naenda kwake jirani mitaa kadhaa, napiga menu narudi zangu ghettoni at tyms ananletea menu ghetto...plus nigerians walinitoa sanaa kipindi hicho.
Wabongo wengine sasa wale niliokuwa nakula nao bata at the start....aaah ***** kila mtu hakujui wanakuambia aah UK maisha tight bla bla bla....nikasema moyoni baridi tu. Kama sio yule dem wa kibongo na kuishi vizuri na wa naija sijui ingekuaje ni mengi wameni favor (plus michongo ya kazi) i cant write all in here, nawasiliana nao mpaka leo.
Aah kuna watu sio kabisa.
Imagine kuna dem waki zimbabwe alitaka kunitongozeshea a single mother wa ki zimbabwe aged like 32 (alinizidi umri kdgo) nimuoe nipate permit ni remain kule. Aargh nikachomoa.
mbona awamu hii watu wanaulizia sana kuzamia Europe/America???? what is behind the sofa?????? au ni magufuri ndo source????? i wonder.
Hatujifunzi kwa mataifa mengine mkuu friendship arise among Tanzanians Kama kuna cartel ya kuteta mwenzenu .huo ndo ukweli and will remain sometimes natamani niwe tu mghana , mnigeria ama mzimbabwe kwani wanapendana si Kama hiki Kisiwa cha AmaniIn short wabongo ni wachoyo, wabinafsi na roho za kwanini sanaa. Mimi nlivyokua huko kuna wabongo nilikua nao nimewasoma sanaa na kuwa judge kwa makini aisee hapana hawafai kabisaaa, kati ya wabongo 10 wawili au watatu ndio wako loyal na kuna baadhi hawataki hata kujulikana ni wabongo kule.
Ndio maana nikaamua kuwa close na nigerians na zimbabweans wako peace sanaa. Mbongo aone unaotea shifts kadhaa unapiga hela au aone unaongeza ma elimu wata hate sanaa (wivu kibao) from within ila wanajitahidi kuificha.
Kuna kipindi nilipungukiwa na hela kidogo nikawa na live under strict budget kama like 2 nd half months hivi ( kuna issue nilikua nafanya hela ikachelewa kurudi)
Huko UK..kula nikawa napiga like twice daily ( Breakfast + jioni napiga menu kama saa 10 hivi ) nakazia na bread ghettoni kabla sijalala ndio ntolee hyo had kesho labda nibahatike kupewa menu job.
Kuna dem flan wakibongo nilikua nae alini treat fresh sana i can NEVER forget her....aaah at tyms naenda kwake jirani mitaa kadhaa, napiga menu narudi zangu ghettoni at tyms ananletea menu ghetto...plus nigerians walinitoa sanaa kipindi hicho.
Wabongo wengine sasa wale niliokuwa nakula nao bata at the start....aaah ***** kila mtu hakujui wanakuambia aah UK maisha tight bla bla bla....nikasema moyoni baridi tu. Kama sio yule dem wa kibongo na kuishi vizuri na wa naija sijui ingekuaje ni mengi wameni favor (plus michongo ya kazi) i cant write all in here, nawasiliana nao mpaka leo.
Aah kuna watu sio kabisa.
Imagine kuna dem waki zimbabwe alitaka kunitongozeshea a single mother wa ki zimbabwe aged like 32 (alinizidi umri kdgo) nimuoe nipate permit ni remain kule. Aargh nikachomoa.
Around 12 mUwezo wa kujikimu kama kiasi gani mkuu?
Aaaah kuna mwanangu mmoja m zimbabwe my age mate aliniambiaSalute to you bro, its a nice nostalgia though! Mm kuna maza (42) mpk leo ananiambia anantaka, sema mbayaa! Afu c unajua wazungu wengi at 40's wanakua single. Tatizo ukiwakubalia daaah wanakunyanyasa sana
Mkuu si kwamba wazungu hawapendi kufanya kazi za shurba?Aaaah kuna mwanangu mmoja m zimbabwe my age mate aliniambia
" Bro maisha yako yote usije ukalogwa useme eti unaoa binti wa kizungu, alaf useme una settle nae kule. Utakuja mwaga kilio siku.
Mambo ya kuoa mzungu tutakuja kukuona mzee mzima unatembea na viimbwa (pets) kitaa sijui mambo ya kuosha vyombo ghettoni na kulisha watoto wakidai (haki sawa kwa wote) labda kama umependa.
Asians kibao wanapiga kazi balaa mpaka za kutunza wazee wamo, taxi drivers etc hawachagui. Wana njia zao nyingi za kutafta hela yet mizungu ya pale unakuta mizembe tu kila uchwao wanalalama foreigners wanachukua kazi zao.
Aaah wale wengi wao ovyo tu...yakikuchoka yana file for divorce. Labda kama ulioa kwa malengo. Ila sio ile unasema unajenga nae maisha...wao visions zao ni kuishi kule kule kwao few wanatambua Africa kuna opportunities nyingi na kweli wako tayari kupigana kuja kuwekeza huku...ila wengi wao yanabweteka tu...watu wanapewa mpaka unemployment benefits, kuna vitu kama on job training na wanalipwa...Africa ushasikia kuna ushenzi kama huo ??Mkuu si kwamba wazungu hawapendi kufanya kazi za shurba?
Sasa hao ndio watu wa kuchangamana nao....Wako kila kona mkuu hats huku uswahilini bongo wamejazana,wana make mitaji waende kufungua biashara zao South Afrika mkuu.
Sisi tunasaidiana kutafuta mademu tu basiππππππHawa jamaa wanasaidiana sana kwenye kutafuta maisha duniano pote,tofauti na sisi Watanzania,Hata ukitembelea forum yao ya Nairaland utaona ni jinsi gani wanapeana ideas mbalimbali namna ya kutoboa ughaibuni na nchini mwao pia,
Sisi wa Tz wengi hatuna hulka hiyo,kila mmoja anataka aonekane babu kubwa kuliko mwingine.
Hahaaa mkuu Wonderful habari za week end?Inabidi tubebane sana mkuu,familia zetu nyingi ni masikini wa kutupwa,lakini angalau kukiwa na mmoja yuko vizuri anaweza hata kusomesha wengine kwenye kaya na ukawa ndio mwanzo wa maendeleo mengine.Sisi tunasaidiana kutafuta mademu tu basiππππππ
Huyo demu wa kizimbabwe nilimuoaga mie.... πππIn short wabongo ni wachoyo, wabinafsi na roho za kwanini sanaa. Mimi nlivyokua huko kuna wabongo nilikua nao nimewasoma sanaa na kuwa judge kwa makini aisee hapana hawafai kabisaaa, kati ya wabongo 10 wawili au watatu ndio wako loyal na kuna baadhi hawataki hata kujulikana ni wabongo kule.
Ndio maana nikaamua kuwa close na nigerians na zimbabweans wako peace sanaa. Mbongo aone unaotea shifts kadhaa unapiga hela au aone unaongeza ma elimu wata hate sanaa (wivu kibao) from within ila wanajitahidi kuificha.
Kuna kipindi nilipungukiwa na hela kidogo nikawa na live under strict budget kama like 2 nd half months hivi ( kuna issue nilikua nafanya hela ikachelewa kurudi)
Huko UK..kula nikawa napiga like twice daily ( Breakfast + jioni napiga menu kama saa 10 hivi ) nakazia na bread ghettoni kabla sijalala ndio ntolee hyo had kesho labda nibahatike kupewa menu job.
Kuna dem flan wakibongo nilikua nae alini treat fresh sana i can NEVER forget her....aaah at tyms naenda kwake jirani mitaa kadhaa, napiga menu narudi zangu ghettoni at tyms ananletea menu ghetto...plus nigerians walinitoa sanaa kipindi hicho.
Wabongo wengine sasa wale niliokuwa nakula nao bata at the start....aaah ***** kila mtu hakujui wanakuambia aah UK maisha tight bla bla bla....nikasema moyoni baridi tu. Kama sio yule dem wa kibongo na kuishi vizuri na wa naija sijui ingekuaje ni mengi wameni favor (plus michongo ya kazi) i cant write all in here, nawasiliana nao mpaka leo.
Aah kuna watu sio kabisa.
Imagine kuna dem waki zimbabwe alitaka kunitongozeshea a single mother wa ki zimbabwe aged like 32 (alinizidi umri kdgo) nimuoe nipate permit ni remain kule. Aargh nikachomoa.
Mie ni mzungu, naomba nikuwowe....πKwakweli sifahamu sheria zao za uhamiaji kivile. Ninachojua sasa hivi ukiwa umeoa au umeolewa, unatakiwa uprovide evidence kuwa unakazi ya kukulipa Β£25,000 kwa mwakandiyo umlete mwenza. Huu ni mshahara wa graduate. Hawataki mizigo kabisa.
Mie ni mzungu, naomba nikuwowe....π
Mkuu Wonderful habu mwaga ubuyu hapa kuhusu huyo bibi Wa ki Zimbabwe.[emoji1]Huyo demu wa kizimbabwe nilimuoaga mie.... πππ
West Africans walinufaika sana na skilled workers visa, ni watu wenye either uwe umemaliza shule Uingereza au unaomba kutoka nchini kwako, sikuhuzi wamebana kila kona. Jaribu kuangalia skilled workers, walikuwa wanapewa 5yrs work permit na ikiisha hiyo, kama mwajiri wako ataandika barua kuwa bado anakuhitaji wanakupa leave to remain. Mara nyingi hii ni kwa huduma za afya, Dr's, nurses, radiographers, pharmacists etc.