Jinsi ya kupata UK Visa

 
Hivi Bank statement unaweza ukaifanyia utaratibu wa kuipaka rangi kwa wazee wa mjini wamenielewa.ikatoka kama kuna figa ambazo vyuma havijakaza
 
hiyo kazi ya kuchunga ng'ombe walikuwa wanakulipa shs ngapi na mu-arish ulikuwa unamlipa ngapi
By then nina kazi niliajiri mmoja demu wa ki-Irish awe ananisafishia nyumba. Basi nakua nacheza game huku anasafisha I like their sh sh sh accent yao sema fegi tu ndio wanakera.

Sasa we uzamie kwenda Ireland si bora ubaki Sumbawanga unalima ufuta
 
wabongo tumezidi umbeya
 
Nenda viva tower iwapo upo Dar kuna agent wao atakupa visa
Jombaa, viza haitolewi kama kadi za kitchen party.

Viza inatolewa na consulate tu, hata kama walikuwa wanatumia jengo la Viva tower kwa muda ujuwe huyo siyo wakala hiyo ni British high commission consulate.
 
Ndicho kilicho mkuta Emmanuel Eboue mchezaji wa zamani wa Arsenal Galatasary. Amefilisiwa naa mkewe wa wakizungu baada ya kudai talaka mahakamani
 
Ndicho kilicho mkuta Emmanuel Eboue mchezaji wa zamani wa Arsenal Galatasary. Amefilisiwa naa mkewe wa wakizungu baada ya kudai talaka mahakamani

Ulaya matajiri wengi wanazaa tu, ndoa hawafungi hata wakifunga wanafanya pre-nup aggreement ili wasije umizana financially baadae. Wanaodumu kwenye ndoa ulaya ni wachache sanaaaa.

Hzi ngozi nyeupe sio za kuamini kabsa. Mnaanza vizuri baadae unashangaa mnapelekana central sio issue kabisa.
 
Ukijipanga unapata tu
 
Nimeshawahi kupata visa ya US bila ya kuonyesha bank statements na kusema kweli nilikuwa sina bank statement. We live in the information age, tatizo watu wengi safari wanaitaka lakini hawana the right information.

Njia niliyotumia ni ya uhakika na wengine niliowaambia wameitumia na kwenda states bila ya longo longo.
 
Si utuambie na sie tujue
 
Hivi Bank statement unaweza ukaifanyia utaratibu wa kuipaka rangi kwa wazee wa mjini wamenielewa.ikatoka kama kuna figa ambazo vyuma havijakaza
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji39]
 
hiyo ni iris scanner, finger print scanner ni rahisi kuihack kwa kutengeneza artificial plastic fingerprints, na iris inaweza kuwa forged kwa kutengeneza plastic micro contact lens kwenye jicho lako hizo method zote ni very expensive zinatumiwa na mashirika makubwa kama CIA,KGB,FBI to hide their identities during their secrete missions
 
Brothers ni nchi Gani ya ulaya ni rahisi zaid kuingia kuanzia ku fight
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…