Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,215
- 31,535
Hiyo ni mifano tu nilikutajia we tafuta skills ulizo nazo ukaziapply kule... voice over ni kuweka sauti labda movie ya yesu au zile za kihindi jinsi wanavyo weka sauti wazungumzaji wanaonekana wanazungumza kiswahiliSawa na hiyo voice-over inahusu nin?