Jinsi ya kupata mkopo kupitia dhamana ya UTT

Jinsi ya kupata mkopo kupitia dhamana ya UTT

Vien

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2020
Posts
7,385
Reaction score
12,063
Habari wana JF,

Kuna jambo ningependa kupata ufafanuzi hapa jukwaani, kwavile kuna watu wana uelewa mpana wa hili swala nnalotaka kuuliza,
Kwa mtu ambaye ameweka hela zake UTT mifuko ya Liquid na bond, ni kwa namna gani ataweza kupata mkopo, na UTT ikasimama kama dhamana ya huyo mtu kupata mkopo,
Kwa upande wangu kuna fedha nimezihifadhi kwa muda huko UTT kwenye mfuko wa Liquid na bond, sasa nataka nisizitoe ila zitumike kama dhamana ya mimi kupata mkopo kupitia Bank za Nmb,crdb au NBC, naomba mwenye uzoefu na hili anipe mwanga kidogo

Asanteni sana
 
kwa mara ya mwisho nafuatilia niliona mabenk yanaanza kuliduscuss hili sijajua kama limeanza au la?
 
Habari wana JF,

Kuna jambo ningependa kupata ufafanuzi hapa jukwaani, kwavile kuna watu wana uelewa mpana wa hili swala nnalotaka kuuliza,
Kwa mtu ambaye ameweka hela zake UTT mifuko ya Liquid na bond, ni kwa namna gani ataweza kupata mkopo, na UTT ikasimama kama dhamana ya huyo mtu kupata mkopo,
Kwa upande wangu kuna fedha nimezihifadhi kwa muda huko UTT kwenye mfuko wa Liquid na bond, sasa nataka nisizitoe ila zitumike kama dhamana ya mimi kupata mkopo kupitia Bank za Nmb,crdb au NBC, naomba mwenye uzoefu na hili anipe mwanga kidogo

Asanteni sana
Nadhani kwenda katika ofisi zao na kupata maelezo wanaweza kuwa na mwongozo wote
 
Kwa kupitia Bond only UTT ndio watakudhamini ukichukulia mkopo CRDB. Banks zingine sijui..
na hiyo bond yako iwe na 10M+… wanakupa 80 ya ulichokiweka huko
Mkuu hii inawezekana? Ni utaratibu upi unatumika ili UTT waweze kunidhamini?
 
Mkuu hii inawezekana? Ni utaratibu upi unatumika ili UTT waweze kunidhamini?
Lazima uwe na pesa isiyopungua 10M kwenye mfuko wa bond.

Ile pesa ndio inasimama kama dhamana kuu
Huku UTT nao wakikudhamini
 
Lazima uwe na pesa isiyopungua 10M kwenye mfuko wa bond.

Ile pesa ndio inasimama kama dhamana kuu
Huku UTT nao wakikudhamini
Ahsante sana,nlikuwa silifahamu hili..so mfumo wa marejesho ni kwa kudeposit wewe mwenyewe kila mwezi sivyo
 
hakikisha pesa unayotaka kuchukulia mkopo ipo kwenye bond fund na umepata angalau installment moja , weka akaunti ya kulipia iwe NBC alafu nicheki nitakupa connection na mtu wa NBC, unapata mapema tu
 
hakikisha pesa unayotaka kuchukulia mkopo ipo kwenye bond fund na umepata angalau installment moja , weka akaunti ya kulipia iwe NBC alafu nicheki nitakupa connection na mtu wa NBC, unapata mapema tu
Naweza kukucheki DM?
 
Habari wana JF,

Kuna jambo ningependa kupata ufafanuzi hapa jukwaani, kwavile kuna watu wana uelewa mpana wa hili swala nnalotaka kuuliza,
Kwa mtu ambaye ameweka hela zake UTT mifuko ya Liquid na bond, ni kwa namna gani ataweza kupata mkopo, na UTT ikasimama kama dhamana ya huyo mtu kupata mkopo,
Kwa upande wangu kuna fedha nimezihifadhi kwa muda huko UTT kwenye mfuko wa Liquid na bond, sasa nataka nisizitoe ila zitumike kama dhamana ya mimi kupata mkopo kupitia Bank za Nmb,crdb au NBC, naomba mwenye uzoefu na hili anipe mwanga kidogo

Asanteni sana
Kwenye UTT unapata return ya asilimia ngapi?

Bank unachajiwa interest rate ya ngapi?

Ikiŵa interest rate ya bank ni kubwa kuliko rate ya utt achana na hiyo kazi.
 
hakikisha pesa unayotaka kuchukulia mkopo ipo kwenye bond fund na umepata angalau installment moja , weka akaunti ya kulipia iwe NBC alafu nicheki nitakupa connection na mtu wa NBC, unapata mapema tu
Yani haki ya mtu mpaka connection. Kweli bongo nyoso. Hapo jamaa naye atataka cha juu....
 
Yani haki ya mtu mpaka connection. Kweli bongo nyoso. Hapo jamaa naye atataka cha juu....
Hamna cha juu na wala sio connection kwamba inabidi atoe hela , ni kwasababu siwezi toa namba ya mtu mtandaoni , nikimpa namba ni kuwa itakuwa straight tu njoo na vitu hivi au atampigia hesabu na kukubaliabana halafu imeisha , otherwise aende tu tawi lolote la NBC atapewa vigezo na document zinazohitajika
 
Marejesho inakuaje?
Benki inachukuwa moja kwa moja GAWIO la kila mwezi unalolipwa na UTT.

Aidha, unatakiwa usahau pesa zako zilizopo UTT hadi utakapokamilisha malipo ya Mkopo.

Unaweza kuchukuwa mkopo wa hadi 80% ya fedha ulizowekeza UTT. Hata hivyo, ni lazima mtaji uliowekeza uwe na gawio la kila mwezi. UTT hutoa gawio kwa wawekezaji wake wenye 10M na zaidi kila mwezi. Kwa sasa, 10M ni sawa na vipande 81,300. Hivyo, unatarajiwa kupata gawio la Tshs 81,300 kwa mwezi. Kwa kiwango hicho, ni lazima mkopo wa 8M utaulipa kwa zaidi ya MIAKA 10. NINACHOSHAURI, Endelea kuwekeza na chukuwa mkopo wa hadi NUSU ya uwekezaji ili uweze kuurejesha mkopo huo kwa muda wa kati. Aidha, itasaidia kupunguza ukubwa wa RIBA huko wanakotoa mkopo.
Ahsante.
 
Back
Top Bottom