co fm
JF-Expert Member
- Jul 20, 2016
- 1,411
- 2,138
Nipo hapa mitaa ya CBE nimesimama ninaona wasichana warembo wakipita na nina watamani sana, siwezi msimamisha mbele ya watu wengi ila kuongea naye naweza….Je, njia gani nzuri wakuu wa mambo bila kuaibika maana sipendi aibu au kama kuna njia nyingine tupeni hapa.
Mrejesho : Nimepata number ya mmoja wao sio mbaya,naelekea home sasa
Mrejesho : Nimepata number ya mmoja wao sio mbaya,naelekea home sasa