kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 20,259
- 13,268
Ahahahahahahaaaaaaa si unaona mambo mayo bitoz,unamwaga sifa za kufa MTU kwanza kisha unatupia swaga lazima anase![]()
Mzee noma
Ahahahahahahaaaaaaa si unaona mambo mayo bitoz,unamwaga sifa za kufa MTU kwanza kisha unatupia swaga lazima anase![]()
Mzee noma
Sasa huyo dingi si atafia kifuani maana mtoto bado mbichi huyoUsishangae ng'ombe hazeeki maini![]()
Dah... mwana sasa mbona unatumia gharama kubwa kumega kisela kuliko yule anayehonga? Time imebadilika chief usihangaike kufuga ng'ombe wakati una uhakika wa maziwa. Nunua maziwa yako kunywa fasta kisha kacheki michongo. Usizubae final uzeeniNimechoka kuwa mtazamaji ngoja na mimi leo niwakilishe. Nazungumzia namna ya kumpata demu mzuri wa umbo + sura si mnajua matoz hawapendi vinyago.
1/Jiamini
Mtoto wa kiume jiamini kwamba wewe ni bora kuliko wengine haijalishi wewe ni kula kulala wala nini mtoto atakushobokea tu.
2/Kuwa smart
Kismart dili bhana sio unataka mtoto mkali halafu unavaa kizobazoba tu msichana ataona so kutembea na wewe.
Darasa la kupigilia pamba kijanja
Utoke vipi kitaa?
3/Usiwe domokaya
Ukimtaka msichana mkali punguza kidomodomo elewa yeye anajijua uzuri wake ongea maneno ya point tu lazima akae.
4/Usiwe na kiherehere
I mean unamtaka msichana sasa unaanza kiherehere sijui cha kujifanya una mkwanja ooh sijui nini, elewa mtoto mkali lazima awe na kibuzi wewe mega tu kisela si anataka penzi?
4/Acha maigizo
Watoto wakali hawapendi vidume vyenye maigizo kama ya bongo movie, wanapenda mapenzi kutoka kwa mayanki, ishi kama ulivyo isije ukaigiza alafu agundue una magumashi. Be real![]()
![]()
![]()
***wewe unachunwa, mi namega kisela****
Handsome wa Uswaz
The Bitoz

Dah... mwana sasa mbona unatumia gharama kubwa kumega kisela kuliko yule anayehonga? Time imebadilika chief usihangaike kufuga ng'ombe wakati una uhakika wa maziwa. Nunua maziwa yako kunywa fasta kisha kacheki michongo. Usizubae final uzeeni![]()
Dah.... kijana wa kiume kupenda vya bure unapoteza sifa za uanaume... angalia utaolewa hapa town![]()
![]()
![]()
![]()
Kumega kisela ndo mpango mzima

Sawa.....!Km hujui kutupia pamba jifunze hapa....
Darasa la kupigilia pamba kijanja
Utoke vipi kitaa?
Uvaaji wa magauni mafupi,vimini, kikaptula
Kuepuka kutia aibu kwa laaziz wako
Dah.. dogo bado hujanisoma. Hapa naongelea gharama... time unatumia kumpigia misele etc hujui gharama kiasi gani unatumia inaweza kuwa zaidi ya kuhonga. Masaa 24 kwa siku ni madogo kwa kijana anayetaka kuisaidia dunia. Tumia social networks ni simpo tu... una click kisha unaclick tena baaasiMimi sihongi kaka .......siamini ktk kuhonga
Utahonga weeee halafu unagongewa
