mti wa ajabu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2012
- 449
- 368
Hahahahahwewe bora ungebaki tu mtazamaji. hizo mbinu zako ni za kitoto sana. wanawake siku hizi ni pesa tu jombaa. awe mzuri asiwe mzuri, ubitoz pelekeni uswahili kwenu
Hahahahahwewe bora ungebaki tu mtazamaji. hizo mbinu zako ni za kitoto sana. wanawake siku hizi ni pesa tu jombaa. awe mzuri asiwe mzuri, ubitoz pelekeni uswahili kwenu
Naam...!Sawa mutu ya watu
teh teh tehHahahahah
hizo zote porojo watoto wa mjini siku hizi wanataka mkwanja tu,diamond na domo lake si unamuona,mzee mengi na runway kichwani si unamuona?we jidanganye na usmart utaendelea kuopoa wanuka chupi tu....Nimechoka kuwa mtazamaji ngoja na mimi leo niwakilishe. Nazungumzia namna ya kumpata demu mzuri wa umbo + sura si mnajua matoz hawapendi vinyago.
1/Jiamini
Mtoto wa kiume jiamini kwamba wewe ni bora kuliko wengine haijalishi wewe ni kula kulala wala nini mtoto atakushobokea tu.
2/Kuwa smart
Kismart dili bhana sio unataka mtoto mkali halafu unavaa kizobazoba tu msichana ataona so kutembea na wewe.
Darasa la kupigilia pamba kijanja
3/Usiwe domokaya
Ukimtaka msichana mkali punguza kidomodomo elewa yeye anajijua uzuri wake ongea maneno ya point tu lazima akae.
4/Usiwe na kiherehere
I mean unamtaka msichana sasa unaanza kiherehere sijui cha kujifanya una mkwanja ooh sijui nini, elewa mtoto mkali lazima awe na kibuzi wewe mega tu kisela si anataka penzi?
4/Acha maigizo
Watoto wakali hawapendi vidume vyenye maigizo kama ya bongo movie, wanapenda mapenzi kutoka kwa mayanki, ishi kama ulivyo isije ukaigiza alafu agundue una magumashi. Be real![]()
***wewe unachunwa, mi namega kisela****
Soma pia
...............................................
Combination za wapenzi !!!
................................................
Handsome wa Uswaz
The Bitoz
poaWe fuata masharti tu.....halafu ulete mrejesho
Uwe unasoma kwa umaskini.......issue siyo "kumiliki" ni "kuopoa na kugonga" mfano mimi namgongea pedeshee demu wako na ananiletea mazagazaga kibaohizo zote porojo watoto wa mjini siku hizi wanataka mkwanja tu,diamond na domo lake si unamuona,mzee mengi na runway kichwani si unamuona?we jidanganye na usmart utaendelea kuopoa wanuka chupi tu....
Hapana, umri wangu umeshakwenda sana!!! Wenyewe wanakuja tu!!Katafute demu mkali
mbona dogo unakataa.....?? nina umri unaokaribiana na mzee wako shauri yako!"Upuuzi" hauna umri ......
YOLO
Teh teh teh!!Najua sana.....nilikuona kwenye uzi wa Jitegemee
Nimeongea kiswaga