Cathsimon
Senior Member
- Jan 18, 2014
- 161
- 29
That's nice mkuu ukifanikiwa kabla yangu utaniambiaNimeshamwambia apunguze vyakula vya mafuta. asile chakula kingi sanaaaa. Wanga apunguze...aongeze mboga za majani, matunda na maji mengi.
Nahubiri tu hapa lakn na mimi napigana na kitambi changu hapa...ha ha haaa