Jinsi ya kuona mwezi/miezi (How to see moons)

Jinsi ya kuona mwezi/miezi (How to see moons)

NESARA

Senior Member
Joined
Sep 3, 2018
Posts
148
Reaction score
107
Jambo kwenu wanaJF.
Niende moja kwa moja kwenye maada,ifahamike ya kwamba huu mwezi tunauona unang'ara angani haupo peke yake kuna miezi mingi mingi tu (nimesahau idadi kamili),ila ni zaidi ya sita.
Ukitaka kuona mwezi/miezi (moons) fata hatua zifuatazo na zoezi hili lifanyike wakati wa jua kali;
1.Tafuta vipande saba vya vioo vyenye ukubwa ambao unashikika kwa mikono yako (hata kama ni 4cmx6cm).
NB:Vioo hivyo viwe vile ambavyo unaona upande wa pili (non-silvered) na visiwe vya plastic.
2.Tafuta vipande kumi na nne vya miti vyenye unene sawa na kidole chako cha kati na kila kimoja kiwe na urefu wa 8cm.
3.Weka kioo cha kwanza chini kisha weka vipande viwili vya miti juu ya kioo (vijiti viachiane nasafi na visigusane).
4.Weka kioo cha pili juu ya vipande vya miti (vile vya juu ya kioo cha kwanza).
5.Endelea kupanga vioo katika utaratibu huu hadi vioo vyote saba viishe.
6.Ukimaliza sasa vinyanyue na uvishike vioo vyote pamoja na miti yake kwa mikono miwili (Kuwa makini usiharibu huu mpangilio wa vioo na vijiti).
7.Vielekeze vioo pale katikati ya jua pale panapowaka sanaaa.
8.Chungulia katikati ya vioo mithiri ya kama unalenga shabaha katikati ya jua,chungulia kama kwa dakika 3,4,5...
9.Ukichungulia kwa makini sana hapo ndio utaona mwezi/miezi na unaweza ukaona hata miezi kumi na kuendelea na pia unawwza ukaona michache pia,hii ni kulingana na hali ya hewa na mwanga uliopo kutoka kwenye jua pia na wakati husika.
NB: Usitumie viooo vyenye lenzi sababu ni hatari kwa afya ya macho yako.
Ahsante wakuu,nawasilisha hii mungu akijalia tutaleta na zingine.
 
Aisee umenishtua, nilijua unamaanisha kuingia MP


Anyway huo ni Uongo. What u see are not moons. I just a reflection of Sun images.

Nakumbuka hii kitu nimeifanya Darasa la 5
 
Aisee umenishtua, nilijua unamaanisha kuingia MP


Anyway huo ni Uongo. What u see are not moons. I just a reflection of Sun images.

Nakumbuka hii kitu nimeifanya Darasa la 5
hahahaha mkuu hiyo pia ni possible
 
Aisee umenishtua, nilijua unamaanisha kuingia MP


Anyway huo ni Uongo. What u see are not moons. I just a reflection of Sun images.

Nakumbuka hii kitu nimeifanya Darasa la 5
MP=Member of / liament
 
Tume itumia Sana tukiwa machalii
 
Tume itumia Sana tukiwa machalii
ni kweli mkuuu,,hata mimi niliitumia enzi hizooo za viatu kutoka Hong Kong,nimeileta hapa ili tuwafumbue macho wasio fahamu chochote
 
Yaan mtu amekaa anatype uongo na ujinga humu......kwani bado hazijafunguliwa?
mkuuu toa fact,,,usilete siasa,,,huu uzi upo practically zaidi na sio kisiasa,,practise first alafu ujeee kuleta logic.
 
Aisee umenishtua, nilijua unamaanisha kuingia MP


Anyway huo ni Uongo. What u see are not moons. I just a reflection of Sun images.

Nakumbuka hii kitu nimeifanya Darasa la 5
reflection occur when rays of light bounce back from a surface that does not allow light to pass through.Sasa mkuu naomba utoe maelekezo kidogo kuhusu hiyo maada ya reflection ulioileta,,please tumia fact and logic za kisayansi.
 
Ungeweka pictures jinsi ya kupanga hivyo vioo na miti
 
Jambo kwenu wanaJF.
Niende moja kwa moja kwenye maada,ifahamike ya kwamba huu mwezi tunauona unang'ara angani haupo peke yake kuna miezi mingi mingi tu (nimesahau idadi kamili),ila ni zaidi ya sita.
Ukitaka kuona mwezi/miezi (moons) fata hatua zifuatazo na zoezi hili lifanyike wakati wa jua kali;
1.Tafuta vipande saba vya vioo vyenye ukubwa ambao unashikika kwa mikono yako (hata kama ni 4cmx6cm).
NB:Vioo hivyo viwe vile ambavyo unaona upande wa pili (non-silvered) na visiwe vya plastic.
2.Tafuta vipande kumi na nne vya miti vyenye unene sawa na kidole chako cha kati na kila kimoja kiwe na urefu wa 8cm.
3.Weka kioo cha kwanza chini kisha weka vipande viwili vya miti juu ya kioo (vijiti viachiane nasafi na visigusane).
4.Weka kioo cha pili juu ya vipande vya miti (vile vya juu ya kioo cha kwanza).
5.Endelea kupanga vioo katika utaratibu huu hadi vioo vyote saba viishe.
6.Ukimaliza sasa vinyanyue na uvishike vioo vyote pamoja na miti yake kwa mikono miwili (Kuwa makini usiharibu huu mpangilio wa vioo na vijiti).
7.Vielekeze vioo pale katikati ya jua pale panapowaka sanaaa.
8.Chungulia katikati ya vioo mithiri ya kama unalenga shabaha katikati ya jua,chungulia kama kwa dakika 3,4,5...
9.Ukichungulia kwa makini sana hapo ndio utaona mwezi/miezi na unaweza ukaona hata miezi kumi na kuendelea na pia unawwza ukaona michache pia,hii ni kulingana na hali ya hewa na mwanga uliopo kutoka kwenye jua pia na wakati husika.
NB: Usitumie viooo vyenye lenzi sababu ni hatari kwa afya ya macho yako.
Ahsante wakuu,nawasilisha hii mungu akijalia tutaleta na zingine.
Utakachokiona hapo sio miezi, hiyo kitaalam wanaita refraction phenomenon, mwanga unapopita kwenye medium moja kwenda nyingine hupinda(hapo kuna medium mbili hewa na glass) kulingana na mpangilio huo mwanga hupinda na kusababisha ulione jua mara nyinginyingi kulingana na idadi ya vioo ulivyoweka..

Usije danganya watoto wako..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sawa mkuu,,,vp kuhusiana na shape unazoziona ambazo zipo katika mpangilio.
Utakachokiona hapo sio miezi, hiyo kitaalam wanaita refraction phenomenon, mwanga unapopita kwenye medium moja kwenda nyingine hupinda(hapo kuna medium mbili hewa na glass) kulingana na mpangilio huo mwanga hupinda na kusababisha ulione jua mara nyinginyingi kulingana na idadi ya vioo ulivyoweka..

Usije danganya watoto wako..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jambo kwenu wanaJF.
Niende moja kwa moja kwenye maada,ifahamike ya kwamba huu mwezi tunauona unang'ara angani haupo peke yake kuna miezi mingi mingi tu (nimesahau idadi kamili),ila ni zaidi ya sita.
Ukitaka kuona mwezi/miezi (moons) fata hatua zifuatazo na zoezi hili lifanyike wakati wa jua kali;
1.Tafuta vipande saba vya vioo vyenye ukubwa ambao unashikika kwa mikono yako (hata kama ni 4cmx6cm).
NB:Vioo hivyo viwe vile ambavyo unaona upande wa pili (non-silvered) na visiwe vya plastic.
2.Tafuta vipande kumi na nne vya miti vyenye unene sawa na kidole chako cha kati na kila kimoja kiwe na urefu wa 8cm.
3.Weka kioo cha kwanza chini kisha weka vipande viwili vya miti juu ya kioo (vijiti viachiane nasafi na visigusane).
4.Weka kioo cha pili juu ya vipande vya miti (vile vya juu ya kioo cha kwanza).
5.Endelea kupanga vioo katika utaratibu huu hadi vioo vyote saba viishe.
6.Ukimaliza sasa vinyanyue na uvishike vioo vyote pamoja na miti yake kwa mikono miwili (Kuwa makini usiharibu huu mpangilio wa vioo na vijiti).
7.Vielekeze vioo pale katikati ya jua pale panapowaka sanaaa.
8.Chungulia katikati ya vioo mithiri ya kama unalenga shabaha katikati ya jua,chungulia kama kwa dakika 3,4,5...
9.Ukichungulia kwa makini sana hapo ndio utaona mwezi/miezi na unaweza ukaona hata miezi kumi na kuendelea na pia unawwza ukaona michache pia,hii ni kulingana na hali ya hewa na mwanga uliopo kutoka kwenye jua pia na wakati husika.
NB: Usitumie viooo vyenye lenzi sababu ni hatari kwa afya ya macho yako.
Ahsante wakuu,nawasilisha hii mungu akijalia tutaleta na zingine.
Mkuu, sayari za mercury na venus hazina miezi. Sayari ya dunia yenyewe inazungukwa na mwezi mmoja. Hio miezi unayosema unaiona na vioo vyako ukiangalia katikati ya jua inatoka wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swali la Msingi; Kama Miezi ipo mingi zaid ya saba km ulivosema, Je kwanin Usiku uonekane Mwezi mmoja tu?
 
zipo katika mpangilio kama vioo vyako ulivyoviweka katika mpangilio

Sent using Jamii Forums mobile app
Refraction means bending of ray light as they come across from one media to another,a number of multiple refraction in a series of media results to decrease or increase of an andle of refraction in an outer media,hivyo basi unaposema refraction zinakuwa nyingi nilitegemea pia kuja kukuta varitions kwenye shape ya zile structure unazo ziona,what does it implies when you see the structures with reduced modification in structure kama vile tunavosema shape ya moons ipo kufanana na moons zingine.
 
Back
Top Bottom