Jinsi ya kumtambua mchepukaji Me/Ke

Jinsi ya kumtambua mchepukaji Me/Ke

Kuna ukweli hapa Daaa nilitupaga kitambo manzi wa hivi
 
Yani namuwekaga profile fb,whatsapp,cm yangu anaishika any time wakati mwingine anaondoka nayo ila bdo tu anakuwa haniamini,yani huwa simuelewi akinioa itabidi ntumie cm yake yani tushee kila kitu,I.hate kugombana sababu ya cm/social media

Jitahidi ila cm zinaharibu mahusiano
 
Unafanyaje kuzipata msg ktk email yako naomba unielimishe
Mkuu itakubidi u install application inaitwa phone leash katika simu ya huyo somebody..baada ya hapo utaiseti iwe inakutumia details {sms na calls history and call duration} kwenda katika namba nyingine au email unayoitaka wewe
 
Watu siku hizi hawafanyi hizo mambo hapo juu na hivi kuna application nyingi za mtu kutojua msg na simu za michepuko. You can stay with a phone like foreva and find nothing.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom