HIV AND AIDs
Mapenzi yalisha nishinda mda sana!
God bless technology,mana udukuzi imekua is simple! hata akifuta msg mi nazipata tu kwa email Yangu
Kuchepuka ni raha sana ni vile tu hamjui.
Point ya mwish inanihisu mm kabisa,nilikuwa na msichana hakuwahi kuniweka profile picha hata siku moja
Kumbe ndio maana.ila namshukuru mungu tulishaachana miezi mmnne iliyopita na ishara zote za hapo juu za michepuko ndio sababu ya kuachana kwetu
Hivi hii ya kuwekana profile picture inamata eeh? mimi siwezi kumweka mpenzi kwenye profile yangu kamwe..! miaka mia.... Mume niliyefunga nae ndoa labda
Tofauti ni nini hapo? Mume waweza muweka, kwanini ushindwe kumuweka mpenzi/mchumba wako?
Au ndio mguu nje, mguu ndani!(sorry for this)
hivi kuna ulazima wa kuwa na mahusiano pasi kuwa na future ya kueleweka?
Amaah....hujui tofauti kati ya mume na mpenzi???? wewe unaweza kuona future kwenye mahusiano kumbe mwenzio anenda opposite direction.....men..!! u trust them at ur own risk