Jinsi ya kumtambua mchepukaji Me/Ke

Jinsi ya kumtambua mchepukaji Me/Ke

bampami

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2011
Posts
5,700
Reaction score
4,126
WACHEPUKAJI WENGI WANATABIA HIZI

1.Hachezi mbali na simu yake kila wakati.

2.Inbox na sending items hufutwa kila wakati.

3.Ukimuomba simu yake ghafla lazima akwambie hebukwanza.

4. Kamwe haiiti always vaibration.

5. Namba nyingi ha-save.

6. Kuna simu hapokei hata iweje anapenda sms zaidi

7.Majina mengi kwenye simu yameseviwa kwa majina ya kufikirika.

8. Muda mwingi ni mtu wakujihami.

9 Anapenda password na anabadili mara kwamara.

10.Akiazima simu yako, akitumia tu anafuta deal noharaka.

11. Always yuko na simu hadi bafuni ikibidi.

12. Anajazba ukimuuliza chochote kuhusu simu anajishtukia.

13. Akiwa anachati anakuangalia mara kwa mara kiwiziwizi

14. Hana jeuri ya kukuweka profile picture na akikuweka humalizi masaa anakudampu huko

Hapa kuna ukweli asilimia millioni moja kabisa.

ACHA KABISA KUCHEPUKA JENGA UAMINIFU UMLINDE UMEPENDAYE DHIDI YA MAGONJWA.
 
Aisee wewe ni mchepukaji mbobezi! Haya yot huwezi kujua bila practice. Kumbuka jambazi anajuwa mbinu za majambazi
 
Hii ni zaidi ya utumwa, amani huna na simu yako
 
Aisee wewe ni mchepukaji mbobezi! Haya yot huwezi kujua bila practice. Kumbuka jambazi anajuwa mbinu za majambazi

Nilikuwa sasa nimeacha na sitarudia tena....thats why natumia FURSA hii KUKEMEA Kwa NGUVU zangu zootee...
 
bampami

God bless technology,mana udukuzi imekua is simple! hata akifuta msg mi nazipata tu kwa email Yangu
 
Last edited by a moderator:
Yani namuwekaga profile fb,whatsapp,cm yangu anaishika any time wakati mwingine anaondoka nayo ila bdo tu anakuwa haniamini,yani huwa simuelewi akinioa itabidi ntumie cm yake yani tushee kila kitu,I.hate kugombana sababu ya cm/social media
 
Kwasasa wachepukaji nao wamekuwa wabunifu sana kila cku wanabuni mbinu mpya ya kuchepuka
 
mkuu michepuko hainaga kanuni wengine ni staffmate wanaongea ana kwa ana utazeeka hutawatambua ukitumia njia hizo
 
Kitanda usichokilalia huwezi jua kunguni wake. Lazima mshikaji lazima ni professional mchepukaji. Kwa mistari hiyo .
 
bampami

Achana na sisi, pilipili ya shamba we inakuwashia nini?
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom