ACHINJEMERE
Member
- Oct 19, 2014
- 42
- 19
- Thread starter
- #21
mkuu wewe ushajaribu au umeskia kwa wenzio, nahisi unahamasisha uliberali hapa
Mi sina hiyo shida Mkuu ni msaada nimetoa kwa jamii.
mkuu wewe ushajaribu au umeskia kwa wenzio, nahisi unahamasisha uliberali hapa
Nitajaribu, huwa nafika kileleni haraka sana, sasa sijui huu utafiti ni scientific au? nisije nikampanua au nikapanuliwa yakatokea mengine!
Nitajaribu, huwa nafika kileleni haraka sana, sasa sijui huu utafiti ni scientific au? nisije nikampanua au nikapanuliwa yakatokea mengine!
Uvivu wa kuwaza, nakupenda majibu ya haraka, ndio tatizo lako!
Aisee siku nikifanyiwa hivyo lazima parapanda italia
Wanajamii kuna tatizo LA kuwai kufika kilele kwa baadhi ya watu, na najua watu wengi wamewai kusikia.
Inawezekana ikawa ni ugonjwa au matatizo ya kisaikolojia.
Kuna njia ya kuwasaidia watu hao awe me au ke njia inawasaidia wote bila athari yoyote.
Njia hiyo ni kumtanua makalio pindi unapoisi anakaribia kufika kileleni.
Yaani kama mume ndio yuko juu pitisha mikoni mgongoni kwakwe kisha shika makalio yke mpenyue ili katikati ya mfereji WA Suez iingie hewa ya kutosha.Na kwa mke njia ni hiyohiyo.
Inapoingia hewa katikati ya makalio itampunguzia uwekano WA kufika kileleni na kuchukua adi dakika 20 kuanza upya hali ya kufika kileleni, unaweza kurudia rudia ukiitaji.
Njia hii ni sahihi na haina madhara yoyote ni technic tu wakati kufanya mwenza wako asijue kama umempenyua makusudi.
NB.
Usitumie nguvu nyingi kupenyua ayo makalio asije kukunyea mpenzi wako ni taratibu kimahaba.
ha ha ha ha hii njia unataka kuongeza wagonjwa wa manundu hospital we umpenyue mwanaume anayejielewa bahati mbaya kidole kiingie huko ni ngumi tu
Inaonekana hii staili umeitumia na imekusaidia.... hongera bana... kupanuliwa ------ hadi kukata stim si kazi ndogo
ha ha ha ha hii njia unataka kuongeza wagonjwa wa manundu hospital we umpenyue mwanaume anayejielewa bahati mbaya kidole kiingie huko ni ngumi tu
kwa hiyo unapoteza concentration wakati unasikilizia utamu wa upepo ukikuingia? this is BULLSHITMumefika mbali hakuna ushoga hapo ni kukupotezea concentration tu!
Nitajaribu, huwa nafika kileleni haraka sana, sasa sijui huu utafiti ni scientific au? nisije nikampanua au nikapanuliwa yakatokea mengine!
Wanajamii kuna tatizo LA kuwai kufika kilele kwa baadhi ya watu, na najua watu wengi wamewai kusikia.
Inawezekana ikawa ni ugonjwa au matatizo ya kisaikolojia.
Kuna njia ya kuwasaidia watu hao awe me au ke njia inawasaidia wote bila athari yoyote.
Njia hiyo ni kumtanua makalio pindi unapoisi anakaribia kufika kileleni.
Yaani kama mume ndio yuko juu pitisha mikoni mgongoni kwakwe kisha shika makalio yke mpenyue ili katikati ya mfereji WA Suez iingie hewa ya kutosha.Na kwa mke njia ni hiyohiyo.
Inapoingia hewa katikati ya makalio itampunguzia uwekano WA kufika kileleni na kuchukua adi dakika 20 kuanza upya hali ya kufika kileleni, unaweza kurudia rudia ukiitaji.
Njia hii ni sahihi na haina madhara yoyote ni technic tu wakati kufanya mwenza wako asijue kama umempenyua makusudi.
NB.
Usitumie nguvu nyingi kupenyua ayo makalio asije kukunyea mpenzi wako ni taratibu kimahaba.
Na wewe usiweke kidole atakuua!
Yaani mie hata demu wangu anajua kabisa hata tukiwa kwenye shughuli akinigusa ---- hata kwa bahati mbaya ni kosa kubwa sana na anaweza kushangaa kapigwa kofi bila kujua limetokea wapi sembuse anipinye ------ na kuyatanua ninahisi siku hiyo chumba kinaweza kujaa damu kwa kipio atakachopokea