Thiago Silva
JF-Expert Member
- Nov 1, 2014
- 322
- 177
kama kauzushi flani yaani umpenyue nayeye akikujua 2 mbona mtapekenyuana..
ahahahahahaha pumbu zanguuuuu!
oh nimechapia MBAVU zangu
kama kauzushi flani yaani umpenyue nayeye akikujua 2 mbona mtapekenyuana..
hamjapona vizuri
hahahaaaaaaa.. nipe cv yako ebu
cv yangu nitawekaje humu kila mtu aione halafu sitaki kukudanganya
nitumie chemba basi mkuu
ila uchoyo sio mzuri
uchoyo tena mtani??? miss chagga pita hapa mae
Me lakini sina tatizo hilo.
Wanajamii kuna tatizo LA kuwai kufika kilele kwa baadhi ya watu, na najua watu wengi wamewai kusikia.
Inawezekana ikawa ni ugonjwa au matatizo ya kisaikolojia.
Kuna njia ya kuwasaidia watu hao awe me au ke njia inawasaidia wote bila athari yoyote.
Njia hiyo ni kumtanua makalio pindi unapoisi anakaribia kufika kileleni.
Yaani kama mume ndio yuko juu pitisha mikoni mgongoni kwakwe kisha shika makalio yke mpenyue ili katikati ya mfereji WA Suez iingie hewa ya kutosha.Na kwa mke njia ni hiyohiyo.
Inapoingia hewa katikati ya makalio itampunguzia uwekano WA kufika kileleni na kuchukua adi dakika 20 kuanza upya hali ya kufika kileleni, unaweza kurudia rudia ukiitaji.
Njia hii ni sahihi na haina madhara yoyote ni technic tu wakati kufanya mwenza wako asijue kama umempenyua makusudi.
NB.
Usitumie nguvu nyingi kupenyua ayo makalio asije kukunyea mpenzi wako ni taratibu kimahaba.
uchoyo tena mtani??? miss chagga pita hapa mae
Uchoyo uleule Matege wa kunyimana ambacho mwenzako hana
Duuu miss chagga keyboard yako lero imepatwa nanini?