Washamvuruga tayari.
Mimi kama MwanaCCM niliona haya yanakuja na kibaya zaidi nimeona yanakuja mengi sana. Sababu ya yeye kufanyiwa hivi zinaweza kuwa...
1. Aonekane ni Rais aliyeshindwa hasa kwa kuzingatia gender yake.
2. Waliomzunguka wana agenda yao ya siri.
3. Watangulizi kujaribu kulinda rekodi zao.