Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 15,920
- 14,819
Jumapili Bwana TULIKUWA kwenye sendoff ya Corona, basi kuna chalii wangu kule ofisini anapeeenda sana kusoma nyuzi zangu za huku JamiiForums. Sasa akanialika BUZA juzi, akaniambia njoo ucheke kwenye oya oya ya sendoff ya Corona, nikatia timu jumapili mpaka Buza, oya oya kama zouteeee Yaani full shangwe๐๐๐
Sasa wakati nashangaa shangaa shangwe, pemebni yangu kulikuwa na mabinti wawili.
Binti 1: Aisee yule jamaa pale anaechezacheza mimi simpendi kweli, yaani anajishaauuuua kujionyesha anajua kucheza nivutike lakini me patupu hata mshipa haushtuki
Binti 2: Sasa si umkatae, makelele ya nini?
Binti 1: Nishamkataa lakini king'ang'anizi
Binti 2: Tatizo wewe unamkataa kwa huruma sana, we mwambie una Ukimwi uone kama atakaa
Binti 1: Kweli ee? Sikuwahi kuwaza, doh ngoja nijisambazie sifa mtaani nita-trend kuliko.
Mi nikacheka sana kimoyomoyo na kuwaza, hivi kumtangazia mwanaume kuwa una Ukimwi ndio kumfukuza au kumsogeza karibu?
NYUZI ZANGU ZINGINE
1. Hii ndiyo sababu ya nguvu za kiume kupungua au kukosekana Kwa wanaume wengi
2. "Nimekupa kila kitu, na bado umeniacha" Malalamiko ya madada wengi
3. Haijalishi mwanaume mrefu au mfupi, kama ana hela mimi napita nae
4. Je, mapenzi ni mabaya?
5. Mshahara wa mpenzi wangu NI TSH 200,000 Kwa mwezi, nikae au nimkimbie?
6. Alichonifanya mume wangu baada kurudi toka safarini
7. What you see is what you get!
8. Kwa wanaume tu: Fikiria umempenda mrembo, halafu yeye anakuita kaka, unafanyaje?
9. Mpenzi wangu anajikojolea kitandani nifanyaje?
10. Happy Birthday Money Penny ~ March 8th Baby!
11. Nimepata mchumba kanisani kwenye Morning and Evening Glory, Novemba 2023 naolewa
12. Shule imemshinda anatafuta 'sponsor'!
13. ''I love you Baby, kissess mwaaah'' ndio maneno nakutana nayo kila asubuhi, wewe je?
14. Money Penny Mpenzi, naomba namba yako ya simu
15. Story: Money Penny ni nani lakini?!
Sasa wakati nashangaa shangaa shangwe, pemebni yangu kulikuwa na mabinti wawili.
Binti 1: Aisee yule jamaa pale anaechezacheza mimi simpendi kweli, yaani anajishaauuuua kujionyesha anajua kucheza nivutike lakini me patupu hata mshipa haushtuki
Binti 2: Sasa si umkatae, makelele ya nini?
Binti 1: Nishamkataa lakini king'ang'anizi
Binti 2: Tatizo wewe unamkataa kwa huruma sana, we mwambie una Ukimwi uone kama atakaa
Binti 1: Kweli ee? Sikuwahi kuwaza, doh ngoja nijisambazie sifa mtaani nita-trend kuliko.
Mi nikacheka sana kimoyomoyo na kuwaza, hivi kumtangazia mwanaume kuwa una Ukimwi ndio kumfukuza au kumsogeza karibu?
NYUZI ZANGU ZINGINE
1. Hii ndiyo sababu ya nguvu za kiume kupungua au kukosekana Kwa wanaume wengi
2. "Nimekupa kila kitu, na bado umeniacha" Malalamiko ya madada wengi
3. Haijalishi mwanaume mrefu au mfupi, kama ana hela mimi napita nae
4. Je, mapenzi ni mabaya?
5. Mshahara wa mpenzi wangu NI TSH 200,000 Kwa mwezi, nikae au nimkimbie?
6. Alichonifanya mume wangu baada kurudi toka safarini
7. What you see is what you get!
8. Kwa wanaume tu: Fikiria umempenda mrembo, halafu yeye anakuita kaka, unafanyaje?
9. Mpenzi wangu anajikojolea kitandani nifanyaje?
10. Happy Birthday Money Penny ~ March 8th Baby!
11. Nimepata mchumba kanisani kwenye Morning and Evening Glory, Novemba 2023 naolewa
12. Shule imemshinda anatafuta 'sponsor'!
13. ''I love you Baby, kissess mwaaah'' ndio maneno nakutana nayo kila asubuhi, wewe je?
14. Money Penny Mpenzi, naomba namba yako ya simu
15. Story: Money Penny ni nani lakini?!